Hawa Tala Tanzania ninyi mnawaelewa?

Hawa Tala Tanzania ninyi mnawaelewa?

Wapo vizuri endapo kama utalipa mkopo wao kwa wakati mimi sasa hivi wananidai Tsh. 168000 na natakiwa kulipa tarehe 27/8. wanasaidia sana wakati wa matatizo
 
Walinikera eti mpaka uwe na akaunti ya fb ..sijui wanadhani kila mtu anatumia
Jamaa angu alikopa hlf akataka kuwapotezea wakatumia hiyo akaunti ya Fb kama point ya kumkamatia walimtumia sms utajisikia tukutangaze Fb kuwa wewe ni mdaiwa sugu na kule una ndugu zako, marafiki... Kisa tu hicho kiasi cha pesa...

Jamaa aliamua kuwatumia pesa yao
 
Leo nawalipa tigo nivushe
Branch
Tala nawalipa kesho maana line zote 2 wanazidai


Hizi kitu twazidharau ila ukishikwa na dharura ya ghafla utawatafuta mwenyewe
 
Tala wananidai 120,000/=

L pesa wananidai 225,000/=

Airtel timiza wananidai 178,000/=

Tigo nivushe wananidai 312,000/=

Branch wananidai 57000/=

Madeni yote yana zaidi ya mwaka hayajalipwa

Tala washanitoa mpaka kwenye Gazeti kama mdaiwa Sugu



Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mtaji kabisa, kaanzishe business utawalipa ukianza kumake faida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tala wananidai 120,000/=

L pesa wananidai 225,000/=

Airtel timiza wananidai 178,000/=

Tigo nivushe wananidai 312,000/=

Branch wananidai 57000/=

Madeni yote yana zaidi ya mwaka hayajalipwa

Tala washanitoa mpaka kwenye Gazeti kama mdaiwa Sugu



Sent using Jamii Forums mobile app
branch ndio ikoje hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom