Rudaguza01
Member
- Aug 11, 2017
- 92
- 37
Mm nliboeka kitu kmoja, nliichukua nikajiunga na tigo ila kwa bahati mbaya mtandao wake ni mbaya hapa nlipo voda hivyo nikawatumia msg wanibadilishia namba nliyounganishia ili nitumie voda ila ikashndkana nikai install fasta kwa kukosa huduma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app