Hawa TAMISEMI vipi? Mbona ajira ya walimu ni kimya na akaunti za waombaji zote wamezifunga

Hawa TAMISEMI vipi? Mbona ajira ya walimu ni kimya na akaunti za waombaji zote wamezifunga

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano.
 
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano
Tuwe wavumilivu
 
Boss nyie mko kweny bajeti ya july huu mwezi ushaisha tayar naona trh 30 june au 1 july lolote laweza tokea
 
Unajua kuchelewesha majina ni sawa na kuchelewesha matokeo ya kura kwenye uchaguzi mkuu. Watu wanaanza kuona kuwa YAWEZEKANA UCHELEWESHAJI HUU NI KUTOKANA NA UCHAKACHUAJI WA MATOKEO!!
Unajua huko nyuma tumeshuhudia kwa mfano jina moja kutoka kwa zaidi ya mara moja! na wahitimu wa jana tu kupewa ajira huku waliohitimu karibuni miaka kumi iliypita wakiachwa huku wamesomea kozi hiyo hiyo na masomo hayo hayo!! Hii ndiyo hofu bila shaka. Waswahili husema kimya kingi kina mshindo mkuu.
 
Hata za wizara bado na zenyewe ni chache kuliko za ualimu
 
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
 
Next week wanaweza kuachia hivyo kuwa na subira mkuu
 
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
Mkuu punguza jazba. Sio kila wakati upo speed. Muda mwingine slow down maisha yaende. Umejaaliwa ridhiki shukuru Mungu mkuu. Sio wote kama ww hakuna aliyependa kusoma fani ya UALIMU. Kipato na familia zetu ni tatizo aaiseeee. Hata kama una kapesa shona mdomo pita kule.

Suala la selection ni process tunajua. Swali lilikuwa kwenye muda tu hapo baaasii.
 
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano
Huo ndo utaratibu, muda wa maombi ukiisha huwa zinafungwa
 
Nawahurumia walimu waliokufundisha, maskini hawakujua wanaandaa mtu wa kuja kuwatukana..[emoji26]
 
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
Hayo mawazo yalishapitwa na wakati! Kwanza walimu hawana njaa, walimu ndio wanaopata mshahara mkubwa kuliko kada zingine na labda wanazidiwa na madaktari na wafamasia tu. Ila watu wengi wamekariri eti walimu hawana pesa. Walimu wa leo si kama walimu wa zamani. ila walimu wanajielewa!!
 
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
Mkuu wewe Ni ke?
 
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
Uba watukana waalimu afu mwemyewe unajua vuwanja vya kulala bure. 😂😂😂. Maajabu haja wahi kuisha. Huzi fake ID zina waficha saana.
 
Hayo mawazo yalishapitwa na wakati! Kwanza walimu hawana njaa, walimu ndio wanaopata mshahara mkubwa kuliko kada zingine na labda wanazidiwa na madaktari na wafamasia tu. Ila watu wengi wamekariri eti walimu hawana pesa. Walimu wa leo si kama walimu wa zamani. ila walimu wanajielewa!!
Mmh hapa umetoa boko si kweli tusingepigana nao vikumbo kwenye kazi ya sensa
 
Next week wanaweza kuachia hivyo kuwa na subira mkuu
Kuna jambo haliko sawa hapa. Kwa harakaharaka halionekani, lakini lipo.

1. Ajira kucheleweshwa kwaweza kuwa ni kwa ajili ya kuanzishia Julai kama miaka ya nyuma ilivyokuwa. Ingawa huenda serikali imeishiwa pia.

2. Sijui wizara nuyingine zinazopewa ruzuku kukoje. Lakini kwa wizara ya elimu, ile ruzuku ya matumizi hadi jana 18.6.2022 haikuwa imetolewa, jambo ambalo halijawahi kutukia.

3. Kuna mtu huko juu kaniambia miradi ya maendeleo inapunguzwa kuanzishwa, sababu ni fedha kiduchu.

Tusubiri tuone kama ni kweli au ni mtazamo hasi tu.
 
Back
Top Bottom