Hawa TAMISEMI vipi? Mbona ajira ya walimu ni kimya na akaunti za waombaji zote wamezifunga

Hawa TAMISEMI vipi? Mbona ajira ya walimu ni kimya na akaunti za waombaji zote wamezifunga

Tusisahau mchakato wa sensa ulioanzishwa, ratiba yake imekwama. Je ni kwanini hadi leo kuko kimya?
 
Serikali hii wapigaji ni wengi hivo hakuna pesa za kuajiri...vijana endeleeeni kula mtori nyama mtazikuta chini.
 
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano.
Ushaambiwa trh moja wa Saba mnarepoti Sasa why uwashwewashwe
 
Hayo mawazo yalishapitwa na wakati! Kwanza walimu hawana njaa, walimu ndio wanaopata mshahara mkubwa kuliko kada zingine na labda wanazidiwa na madaktari na wafamasia tu. Ila watu wengi wamekariri eti walimu hawana pesa. Walimu wa leo si kama walimu wa zamani. ila walimu wanajielewa!!
Walimu hawajaelewei hasa tukianzia na wewe mleta uzi..kazi yenu ni kulialia na kutumia kisiasa tu...walimu mnashiriki kuitia laana hii nchi.


#MaendeleoHayanaChama
 
Jf kuna watu wanajiona wajuaji sana yaani hawawizi kuchangia kitu wala kurekebisha mahali bila kutumia lugha ya kibri , dharau na majivuno hii ni hatari sana kibri ni sifa ya watu madhalimu kabisa kuwahi kutokea tokea ulimwengu uumbwe.

Mafundisho ya Uislamu yanasema mtu akiwa na chembe ya kibri kiasi hata ya punje ndogo basi peponi atapasikia tu hata ile kutembea kwa kudundika inamaanisha kibri ni dhambi kubwa .Staha na busara na upole ni muhimu ktk maisha yetu ya kila siku maana hakuna mkamilifu.
 
Walimu hawajaelewei hasa tukianzia na wewe mleta uzi..kazi yenu ni kulialia na kutumia kisiasa tu...walimu mnashiriki kuitia laana hii nchi.


#MaendeleoHayanaChama
Wewe kwa uandishi huu unamtukana mwalimu?ni vyema umuombe mwalimu akurudishe darasani ujue kusoma na kuandika vizuri.
 
Mnalilia PDF likimwagwa mnaanza kuulizia tena serikali inatangaza lini ajira mpya, tulizeni wenge.
Hilo PDF huwa linatuacha hoi.
Watu wapunguze mihemko mana unaweza ukawa unashupaza shingo ila zikitoka kiherehere chote kinakuisha.
Watu tuwe wapole mbona kada nyingine wametulia wanasubiri ila sisi kazi kulalamika tu.
Ndio mana wakati mwingine tunadharaulika halafu tunalaumu watu kumbe sisi wenyewe tunafanya mambo yanayosababisha tudharaulike.


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hawa Tamisemi wako kimya tu kuhusu ajira za walimu. Bila shaka wamelenga ajira zianze julai mosi. Sasa ni vizuri wakatoa majina mapema ili watu wajipange, wasije wakatoa majina kisha kutoa muda mfupi wa kuripoti na vitisho kuwa mtu asiporipoti mapema nafasi yake itachukuliwa. Ninachoshangaa ni akaunti zote kufungwa ambapo ndiyo palipaswa kuwa ni uwanja wa mawasiliano.
Halafu nyie waalimu na wauguzi muanze kupigwa interview la sivyo tutakuwa na watumishi vilaza , kozi nyingibe wanapigwa interview why not you ,?
 
Mtoa mada una hoja. Toka uombaji wa online umeanza haijawahi kutokea selection zikachelewa namna hii, mara nyingi huwa ni mwezi mmoja tu mambo yanakuwa wazi na ndo maana halisi ya matumizi ya technology tofauti na hapo awali tulikuwa tukituma maombi kwa njia ya posta.

Kuhoji sio njaa, isipokuwa ndo matumizi yenyewe ya akili.
Uzoefu unaniambia mara nyingi watu wenye hoja za kudharau/kudhalilisha kazi fulani huwa ndo wenye shida kuliko kawaida.
 
Walimu hawajaelewei hasa tukianzia na wewe mleta uzi..kazi yenu ni kulialia na kutumia kisiasa tu...walimu mnashiriki kuitia laana hii nchi.


#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hoja nzuri ni Ile isiyogeneralize. Haitokei watu wote wakawa wabaya/ wema katika kada yoyote. Ni vizuri kutumia neno "baadhi".
 
Mnalilia PDF likimwagwa mnaanza kuulizia tena serikali inatangaza lini ajira mpya, tulizeni wenge.
Kusubiri PDF ni hatari mnoo ni bora ikatoka usiwemo ujue unasonga mbele kuliko kuwa kwenye moment ya kusubiri. Kipindi cha kusubiri kina matumaini fulani ya kumpumbaza mtu kiasi kwamba hata anakuwa mzito kwa shughuli anayofanya au mchongo mwingine unaoelekea kukaa sawa, so wanaoitaka PDF kwa haraka nao wana maana nzuri tu tuwaheshimu.
 
Mtoa mada una hoja. Toka uombaji wa online umeanza haijawahi kutokea selection zikachelewa namna hii, mara nyingi huwa ni mwezi mmoja tu mambo yanakuwa wazi na ndo maana halisi ya matumizi ya technology tofauti na hapo awali tulikuwa tukituma maombi kwa njia ya posta.

Kuhoji sio njaa, isipokuwa ndo matumizi yenyewe ya akili.
Uzoefu unaniambia mara nyingi watu wenye hoja za kudharau/kudhalilisha kazi fulani huwa ndo wenye shida kuliko kawaida.
Acha kuropoka husiyoyajua,mwaka 2020 deadline ilikuwa trh 04/10 na post zikatoka trh 27/11 ropoka tena
Screenshot_20220617-122234.jpg
 
Kusubiri PDF ni hatari mnoo ni bora ikatoka usiwemo ujue unasonga mbele kuliko kuwa kwenye moment ya kusubiri. Kipindi cha kusubiri kina matumaini fulani ya kumpumbaza mtu kiasi kwamba hata anakuwa mzito kwa shughuli anayofanya au mchongo mwingine unaoelekea kukaa sawa, so wanaoitaka PDF kwa haraka nao wana maana nzuri tu tuwaheshimu.
Dogo mmoja kodi yake iliisha tarehe
Moja this month amegoma kulipa maana amesema analipaga miezi sita, akilipa afu akapata itakuwa hasara kwake
 
  • Thanks
Reactions: THT
Walimu muna njaa sana hadi mnakera Sasa kwenye hii nchi loooooh, mbona watu wa afya sijaona hii mihemko, maajira kibao yametoka lakini walimu mpaka kero ndomana wanaendaga walio feli akili zenu huwa hazijifichi, swala la selection ni process sio event Sasa haraka zako hizo siku majina yakitoka utasema bora yasingetoka nautakuja kuwachukia maisha yao yote wewe lete kiherehere tu
U.shoga umewafanya vijana wengi waone maisha ni rahisi sana.
 
Kuna jambo haliko sawa hapa. Kwa harakaharaka halionekani, lakini lipo.

1. Ajira kucheleweshwa kwaweza kuwa ni kwa ajili ya kuanzishia Julai kama miaka ya nyuma ilivyokuwa. Ingawa huenda serikali imeishiwa pia.

2. Sijui wizara nuyingine zinazopewa ruzuku kukoje. Lakini kwa wizara ya elimu, ile ruzuku ya matumizi hadi jana 18.6.2022 haikuwa imetolewa, jambo ambalo halijawahi kutukia.

3. Kuna mtu huko juu kaniambia miradi ya maendeleo inapunguzwa kuanzishwa, sababu ni fedha kiduchu.

Tusubiri tuone kama ni kweli au ni mtazamo hasi tu.
Mpaka bajeti ilipopitishwa hawa kujua hizo hesabu. Na mbona una haraka saana. Mwaka jana hizo ajira zilikaa muda gani baada ya maombi kutumwa.? Muda bado ila kuanzia wiki ya kesho tarehe 20 kwenda mbele watatoa majina ya waliopata. Msipotoshe watu.
 
Walimu hawajaelewei hasa tukianzia na wewe mleta uzi..kazi yenu ni kulialia na kutumia kisiasa tu...walimu mnashiriki kuitia laana hii nchi.


#MaendeleoHayanaChama
Unawatukana waalimu wakati hata kuandika tu huwezi. Huo mwandiko aisee kazi ipo. Much known afu ignorance mkubwa. Shit
 
Back
Top Bottom