Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa wewe ni mwana kijani nilifikiri angalau ingeisaidia familia ya mdhulumiwa au basi waipeleke kwenye Lile fukolenu la kijani.
Sasa hela za mambo binafsi ya watu ziingie kwenye akaunti ya chama kufanya nn? au huko CCM mishahara na posho za samia huwa zinaingia kwenye akaunti lumumba?
wewe akili yako inakutumaje? Jibu ili tujue kwanza uwezo wako wa akiliHii ni ishu binafsi? Mama yake marehemu mmemtoa kidogo?
Mama wa marehemu hajapata kitu.
We shoga nenda ukaoge
Hii ni ishu binafsi? Mama yake marehemu mmemtoa kidogo?
Nashaur pesa zote ziende kwa slow slow au nasema uongo ndugu yang!!
We shoga nenda kaoge
Acha kubwabwaja pumba.Kwanini marehemu hakuandika kitabu kisha aingize hela kwenye account ya chama? Waliokiandika sasa wameamua utaratibu uwe huo. Au kama vipi, andika kitabu cha Mawazo ww, kisha pesa iingie kwenye aacount ya mke wa Mawazo. Hapo utakuwa umewaumbua vizuri hao vijana wa CDM.