Hawa Waganga Njaa wanaoishi kwa majungu aliowasema Kikwete siyo Chadema kweli?

Hawa Waganga Njaa wanaoishi kwa majungu aliowasema Kikwete siyo Chadema kweli?

Kuna wakati Rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema Chadema kuna kiwanda cha kutengeneza uongo

Leo Kikwete kasema wanaozusha kwamba yeye alikuwa hamkubali hayati Magufuli ni Waganga njaa wanaoishi kwa majungu.

Ndio najiuliza hawa waganga njaa ndio wale wale jamaa zetu Chadema wa Ufipa st?

RIP Magufuli!
kama mnajaribu kuhamisha magori hivi ??? Alisemaga kama ccm haitavurugika saizi bas haita vurugika tena naona huu nimda mwafaka mnasengenyana sana Siri zaikulu ziko hadharani mnaenjoy tu hamna waswas
 
Kuna wakati Rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema Chadema kuna kiwanda cha kutengeneza uongo

Leo Kikwete kasema wanaozusha kwamba yeye alikuwa hamkubali hayati Magufuli ni Waganga njaa wanaoishi kwa majungu.

Ndio najiuliza hawa waganga njaa ndio wale wale jamaa zetu Chadema wa Ufipa st?

RIP Magufuli!
Watakua hukohuko Lumumba ambako Kuna team kibao za kiutopolo za waganga njaa.
 
Wanajiuliza watawezaje kuishi mjini bila kuuza maneno ya fitina ili kujipatia ridhiki yao kama walivyo zoea.
Halafu eti unawasikia katika maandiko yao "fitina kwangu mwiko" huku wamekinga sahani zao kwenye "majungu ya fitina!!"
UNAFIKI HAUJAWAHI WAACHA WANAFIKI SALAMA...
 
Back
Top Bottom