NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Yap,ndo icho mlichabakiza Chadema kutafuta vijimambo na matukio kuyafanya ajenda muongee muonekani na nyinyi mpo.Chato kua jiji mtasubiri mpka jesca apate kitukuu,kudadadeki mama samia fundi mnaleta vigezo vya kipumbavu tu...ingefika mahali akataka mama yake aitwe malkia wa chato
Hiili na lenyewe nendeni nalo mtaongeza wabunge 2025 pia mtachukua nchi.