Mkalimani wa Ikulu
Member
- Mar 25, 2021
- 23
- 17
kama mnajaribu kuhamisha magori hivi ??? Alisemaga kama ccm haitavurugika saizi bas haita vurugika tena naona huu nimda mwafaka mnasengenyana sana Siri zaikulu ziko hadharani mnaenjoy tu hamna waswasKuna wakati Rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema Chadema kuna kiwanda cha kutengeneza uongo
Leo Kikwete kasema wanaozusha kwamba yeye alikuwa hamkubali hayati Magufuli ni Waganga njaa wanaoishi kwa majungu.
Ndio najiuliza hawa waganga njaa ndio wale wale jamaa zetu Chadema wa Ufipa st?
RIP Magufuli!
Watakua hukohuko Lumumba ambako Kuna team kibao za kiutopolo za waganga njaa.Kuna wakati Rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema Chadema kuna kiwanda cha kutengeneza uongo
Leo Kikwete kasema wanaozusha kwamba yeye alikuwa hamkubali hayati Magufuli ni Waganga njaa wanaoishi kwa majungu.
Ndio najiuliza hawa waganga njaa ndio wale wale jamaa zetu Chadema wa Ufipa st?
RIP Magufuli!
Ingependeza zaidi ukamzalia Lissu mtoto siyo kwa mahaba hayo,maana hata mumeo humtaji taji hivyo.Tundu Lisu njaa kali!
Kama masaburi yakoUfipa kwenye kale kajumba kabayabaya hivi.
Hahahaaaa....... Lisu huyu huyu wa Robert Amsterdam?!Ingependeza zaidi ukamzalia Lissu mtoto siyo kwa mahaba hayo,maana hata mumeo humtaji taji hivyo.
Halafu eti unawasikia katika maandiko yao "fitina kwangu mwiko" huku wamekinga sahani zao kwenye "majungu ya fitina!!"Wanajiuliza watawezaje kuishi mjini bila kuuza maneno ya fitina ili kujipatia ridhiki yao kama walivyo zoea.
Hakika na Mungu huwa hamfichi mnafikiHalafu eti unawasikia katika maandiko yao "fitina kwangu mwiko" huku wamekinga sahani zao kwenye "majungu ya fitina!!"
UNAFIKI HAUJAWAHI WAACHA WANAFIKI SALAMA...