Hawa waimbaji wa injili mbona wana mapozi tata sana?

Hzo nyimbo hunikumbusha utotoni hazichoshi kuimba na kusikiliza, kwaya ya mamajusi, kijitonyama, wale walioimba mwana mpotevu, nyimbo za zamani zilikua na upako sana, za sasa nyingi magumashi matupu.
Nyimbo za siku hizi ni biashara kuliko kuabudu.
Wanarudia mstaria mmoja mara mia ili wimbo ukolezee wauze.

Sintokaa nizinunue mi bado na selection yangu ya kwaya za zamani mama alinipa. Na bado zipo kwenye kanda.
 
Mkuu hapo ushamba wako wa kiroho jamaa yangu. Hujawahi sikia boringo/mziki wa dance, rap na rage?? Labda taarabugospo mimi ndiyo sijasikia.
 
Hiyo Shangilieni imo youtube?
 
Nyimbo za siku hizi ni biashara kuliko kuabudu.
Wanarudia mstaria mmoja mara mia ili wimbo ukolezee wauze.

Sintokaa nizinunue mi bado na selection yangu ya kwaya za zamani mama alinipa. Na bado zipo kwenye kanda.
Mi hata kununua siwezi kabisa maana wengi hawajui walitendalo, waimbaji wakike huko ndani na style zao sasa au kujipaka wanja ka shangingi, mi bora niendelee kusikiliza wana Bulyankulu barabara ya kumi na Tatu.
 
Mi naskiza kwaya Ya Faraja na Kilimanjaro revival za kule Moshi
 
Umenikumbusha Mbali Sana!
 
Sijawahi kuchoka kisikiliza kwaya ya Tumaini-Shangilieni, naweza kuingia You tube hata siku nzima nasikiliza tu nyimbo zao.

Nawapenda sana pia walinilea kwani karibu waimbaji wote pale walinifahamu tangu nikiwa mdogo.
Kuna ule wimbo...
"jamani shangwe, shangwe tushangile, simba wa Yuda kaaja kwa unyonge..."

Huo wimbo naweza sikiliza hata mara mia...
 
Aaah km ni uungu na c MUNGU hapo ni sawa...
 
Kuna ule wimbo...
"jamani shangwe, shangwe tushangile, simba wa Yuda kaaja kwa unyonge..."

Huo wimbo naweza sikiliza hata mara mia...
Hahahaaaa
Aaah leo watu mna nikumbusha mbali kishenzi
Shangilieni hawa ndio walikuwa wanaimba gospel walikuwa fire kwel kweli.

Wimbo wa mwana mpotevu
hatariii aah! Old z gold
 
Kuna ule wimbo...
"jamani shangwe, shangwe tushangile, simba wa Yuda kaaja kwa unyonge..."

Huo wimbo naweza sikiliza hata mara mia...
Kwanini,tusianzishe uzi na ukawa steaky,halafu tukatupia Old School za Gospels?mie Mjomba Angu Niliyekulia Kwake Mpaka Leo Anayo Makasha ya Old Schools!Nikipata Muda Nitazipiga Picha na Kuzitupia Humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…