Hawa Wainjilisti kwenye Daladala wako sahihi kweli?

Hawa Wainjilisti kwenye Daladala wako sahihi kweli?

Ni kukosa tu usimamizi mzuri. Dini au imani haikupi ruhusa au haki ya kuwabugudhi wengine sababu wewe una ajenda yako ya kusambaza neno la MUNGU.

Kuna watu wana matatizo ya akili wanatumia mwamvuli wa imani au maswala ya dini kuprove wendawazimu wao.
 
Hata ukinunua gari yako utahubiriwa tu ili mapepo yakutoke na utubu ilii uurithi ufalme wa Mungu
Pepo hakuna siku atamtoa pepo mwenzake haya maneno nilielezwa na sheikh mmoja nikiwa Geita mpaka sasa hili neno naishi nalo vizuri kwa maana hao wachungaji wako wote nawajua vizuri na upumbavu wao pia
 
Wanapigia abiria kelele, wapigwe marufuku. Sitaki niambiwe Yesu ananipenda, kwani Mimi sijui kuwa ananipenda? Acheni hizo!!
 
Mimi hua wakianza makelele yao naweka head phones naweka mzikiwangu wa kisukuma kwa sauti ya juu sana.

HOJA YANGU
Mkuu Ushimen ukiwa umebakiwa na dakika chache kabla ye kwenda mbele ya haki, utawatafuta hao Wahubiri kwa simu na watakuwa hawapatikani.
Kwangu mimi haiwezekani mkuu, maana hata mimi naweza nikawa muhubiri ama muinjilisti ikiwa nitapata nafasi ya kufahamu kwamba, nimebakiwa na siku ama masaa kadhaa nisipumie tema.
Reje nuuzi za wapendwa wetu kadhaa walio tangulia mbele za haki kabla yetu.....
kama Warumi, Ibra18, Miguu ya kuku, yule mwingine alie fariki kwa kansa ya damu, huyu wa juzi alie tuletea simulizi ya kuntenda wema ni akiba.... na kadhalika na kadhalika
 
Wanakera asikwambie mtu. Kuna kipindi niko kwenye bus nampanga binti tulane kimasihara tukifika Moshi, linatokea jitu linahubiri eti aziniye na mwanamke hana akili kabisa huku linaniangalia, sijui lilitaka nilizini lenyewe? Yale makaa ya mawe yaliyohubiriwa pale, yalifanya binti apangue gia zote
 
Wahubiriane kanisani? Ambako tayari ukristo unafahamika! Maana ya mahubiri iko wapi sasa.
Uinjilisti ni moja kati ya huduma 5 za Kanisa..
Jukumu la Wainjilisti ni kuhubiri nje huko na kuleta kondoo wapya kundini.
Wakihubiri ndani ya Kanisa hao wapya watawapataje?!!!

Kazi ya kuhubiri ndani ya Kanisa ni ya mchungaji.
 
Wanakera asikwambie mtu. Kuna kipindi niko kwenye bus nampanga binti tulane kimasihara tukifika Moshi, linatokea jitu linahubiri eti aziniye na mwanamke hana akili kabisa huku linaniangalia, sijui lilitaka nilizini lenyewe? Yale makaa ya mawe yaliyohubiriwa pale, yalifanya binti apangue gia zote
Hahaha...
Mkuu, huwezi kujua, Labda kwa kumkosa huyo manzi uliepushwa na janga fulani
 
Hao ni wainjilisti na sio wachungaji so hawana mipaka, sehemu maalumu ni kwa ajili ya wachungaji.
Unasemaje hawana mipaka? Kwanini wasiingie msikitini kuhubiri kama ndio hivyo? NEMC wafanye kazi yao maana wamekuwa takataka
 
Uinjilisti ni moja kati ya huduma 5 za Kanisa..
Jukumu la Wainjilisti ni kuhubiri nje huko na kuleta kondoo wapya kundini.
Wakihubiri ndani ya Kanisa hao wapya watawapataje?!!!

Kazi ya kuhubiri ndani ya Kanisa ni ya mchungaji.
Wakafanye mahubiri kwenye viwanja, waandae makongamano. watu watawafuata huko
 
Uinjilisti ni moja kati ya huduma 5 za Kanisa..
Jukumu la Wainjilisti ni kuhubiri nje huko na kuleta kondoo wapya kundini.
Wakihubiri ndani ya Kanisa hao wapya watawapataje?!!!

Kazi ya kuhubiri ndani ya Kanisa ni ya mchungaji.
Unazungumzia Kanisa lipi?
 
Back
Top Bottom