Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wengi ni choka mbaya na wengine wana matatizo ya akiliHivi Hadi kwenye ndege wanaruhusiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi ni choka mbaya na wengine wana matatizo ya akiliHivi Hadi kwenye ndege wanaruhusiwa?
Kanisa lolote linalofuata maandiko ya Biblia..Unazungumzia Kanisa lipi?
Sio makanisa yote ndugu.Kanisa lolote linalofuata maandiko ya Biblia..
Waefeso 4:11 - 15
11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe;
13 hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;
14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila ya watu, kwa ujanja, tukizifuata njia za udanganyifu.
15 Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo.
Wapi nimeandika Makanisa yote?Sio makanisa yote ndugu.
Sio tatizo, wapeane shift tu. Kikubwa wazungumzie masula yanayompendeza Mungu na sio kukashifiana. Kwa nini hampendi mahubiri?Hawa wanakosea sana, ikitokea kila mwenye dini au dhehebu lake akitaka kutoka mahubiri sijui itakuwaje
Hata bar na guest houses?Naam injili ipigwe tu