Hawa wake za viongozi waliotoa msaada Hanang ni taasisi? Imesajiliwa lini na chanzo chake cha mapato ni kipi?

Hawa wake za viongozi waliotoa msaada Hanang ni taasisi? Imesajiliwa lini na chanzo chake cha mapato ni kipi?

Unasumbuliwa na wivu tu. Kwani wewe na rafiki zako mkikubaliana kuungana na kwenda kutoa msaada ni lazima muwe taasisi iliyosajiriwa, na mseme pesa mmetoa wapi? Wivu wako ni wa kike sana!
 
Unasumbuliwa na wivu tu. Kwani wewe na rafiki zako mkikubaliana kuungana na kwenda kutoa msaada ni lazima muwe taasisi iliyosajiriwa, na mseme pesa mmetoa wapi? Wivu wako ni wa kike sana!
Kwi Kwi Kwi
 
Embu kaa kwa kutulia huko.mmeshindwa kutoa misaada na CHADEMA yako sasa mnaanza kuumia na kuwa na chuki mnapoona watu wenye mioyo ya upendo wakiendelea kumiminika kutoa misaada yao kwa waathirika wa maporomoko ya udongo.mlifikiri msipotoa nyie kwamba wengine hawatatoa ? Mpaka leo mmekusanya shilingi ngapi kupitia kale kanamba kenu muliko weka pamoja na picha ya Mbowe kama ndiye mhanga mwenyewe?
 
Embu kaa kwa kutulia huko.mmeshindwa kutoa misaada na CHADEMA yako sasa mnaanza kuumia na kuwa na chuki mnapoona watu wenye mioyo ya upendo wakiendelea kumiminika kutoa misaada yao kwa waathirika wa maporomoko ya udongo.mlifikiri msipotoa nyie kwamba wengine hawatatoa ? Mpaka leo mmekusanya shilingi ngapi kupitia kale kanamba kenu muliko weka pamoja na picha ya Mbowe kama ndiye mhanga mwenyewe?
Jibuni maswali mliyoulizwa , mbona ni rahisi sana !
 
Kwa kweli tunawashukuru sana wale wote waliojitolea kwa hali na mali kusaidia wahanga wa Hanang , na tunachukua nafasi hii kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili awajazie pale palipopungua, Amina.

Hata hivyo ni vizuri tukafahamu huko ilikotokea misaada hii , wala haijawahi kuwa dhambi kufahamu chanzo cha msaada wowote ule , lengo la kujua hili ni kuepuka magenge ya utakatishaji wa fedha ama kupokea misaada ya wauza unga.

Hawa wanaojiita Wenza wa Viongozi ni akina nani , ni wake zao au ni nyumba ndogo zao? hii Taasisi ya wenza wa viongozi imesajiliwa lini na wapi , namba ya usajili wao ni ipi na malengo yao ni yapi? wanapata wapi hela za kutoa misaada hii na ni nani anayewapa hela hizo na kwanini?

View attachment 2847275

Tukiacha mambo haya bila kuhoji iko siku watakuja Watoto wa viongozi , binamu wa viongozi au Hata umoja wa wazazi wa viongozi

Ni vema utaratibu unaoeleweka ukatumika kwa yeyote anayetaka kuchangia chochote kwenye maafa , badala ya kuleta makundi yasiyo na tija yoyote .

Naomba kuwasilisha .
We unajulikana kwa upumbavu wako, ni wa kupuuzwa
 
Hata kama wanauza Unga lakini kama wanasaidia Jamii sioni tatizo lolote.
 
Nmekumbuka eotf wama nk

Wamama mule walinona kwerikweri

Ova
 
Kwa kweli tunawashukuru sana wale wote waliojitolea kwa hali na mali kusaidia wahanga wa Hanang , na tunachukua nafasi hii kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili awajazie pale palipopungua, Amina.

Hata hivyo ni vizuri tukafahamu huko ilikotokea misaada hii , wala haijawahi kuwa dhambi kufahamu chanzo cha msaada wowote ule , lengo la kujua hili ni kuepuka magenge ya utakatishaji wa fedha ama kupokea misaada ya wauza unga.

Hawa wanaojiita Wenza wa Viongozi ni akina nani , ni wake zao au ni nyumba ndogo zao? hii Taasisi ya wenza wa viongozi imesajiliwa lini na wapi , namba ya usajili wao ni ipi na malengo yao ni yapi? wanapata wapi hela za kutoa misaada hii na ni nani anayewapa hela hizo na kwanini?

View attachment 2847275

Tukiacha mambo haya bila kuhoji iko siku watakuja Watoto wa viongozi , binamu wa viongozi au Hata umoja wa wazazi wa viongozi

Ni vema utaratibu unaoeleweka ukatumika kwa yeyote anayetaka kuchangia chochote kwenye maafa , badala ya kuleta makundi yasiyo na tija yoyote .

Naomba kuwasilisha .
Chanzo cha mapato ni kodi za wanyonge zinapigwa haswa
 
Kwa kweli tunawashukuru sana wale wote waliojitolea kwa hali na mali kusaidia wahanga wa Hanang , na tunachukua nafasi hii kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili awajazie pale palipopungua, Amina.

Hata hivyo ni vizuri tukafahamu huko ilikotokea misaada hii , wala haijawahi kuwa dhambi kufahamu chanzo cha msaada wowote ule , lengo la kujua hili ni kuepuka magenge ya utakatishaji wa fedha ama kupokea misaada ya wauza unga.

Hawa wanaojiita Wenza wa Viongozi ni akina nani , ni wake zao au ni nyumba ndogo zao? hii Taasisi ya wenza wa viongozi imesajiliwa lini na wapi , namba ya usajili wao ni ipi na malengo yao ni yapi? wanapata wapi hela za kutoa misaada hii na ni nani anayewapa hela hizo na kwanini?

View attachment 2847275

Tukiacha mambo haya bila kuhoji iko siku watakuja Watoto wa viongozi , binamu wa viongozi au Hata umoja wa wazazi wa viongozi

Ni vema utaratibu unaoeleweka ukatumika kwa yeyote anayetaka kuchangia chochote kwenye maafa , badala ya kuleta makundi yasiyo na tija yoyote .

Naomba kuwasilisha .
CHADEMA mna matatizo ya akili. Mke wa jaji mkuu hawezi kuchangia milioni tatu kweli? Sasa wakiwa na makamu wa rais, waziri mkuu, wakafika 20 hawawezi kusaidia hicho kidogo?
 
Back
Top Bottom