xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,379
sikumaanisha hivyoNani kakuambia wafanyakazi wa serikali (umma ) watampigia ccm kura? ndugu bora useme wengine ila siyo wafanyakazi wa umma hao hata Magu anajua hawamtaki kwa wingi wao
nilimaanisha awajumlishe walovunjiwa na kutumbuliwa na wafanyakazi wa serkali wote kwa ujumla wao bado ni wachache sana kuliko wanachama pekee wa ccm
Sorry nafkir sikupangilia maneno viziri kwe koment yangu apo 👆