sikumaanisha hivyoNani kakuambia wafanyakazi wa serikali (umma ) watampigia ccm kura? ndugu bora useme wengine ila siyo wafanyakazi wa umma hao hata Magu anajua hawamtaki kwa wingi wao
Huyo ni kiongozi mkubwa hapo Lumumbaππππ CHADEMA bhana
Chadema mnandoto nzuri[emoji23][emoji23]Ndiyo maana namomba Lisu akazie sana watu hapo juu uliowataja, hawa kila mmoja angalau awavute watu 10 wa kumpigia kura Lisu, basi kama ulivyosema mchezo umekwisha!
Duh wewe noma sana
acha kudhania!!
Very correctNdiyo maana namomba Lisu akazie sana watu hapo juu uliowataja, hawa kila mmoja angalau awavute watu 10 wa kumpigia kura Lisu, basi kama ulivyosema mchezo umekwisha!
Jana nineona mdada mmoja hapa kimara ananioneaha kadi zake tatu ya CCM, Chauma na ACT- wazalendo lakini akaniambia kyra yake ni kwa Rais, Mbunge na Diwani wa Chadema. I was shocked. Lakini ndio siasa za sasa. Hata kule zanzibar unaweza kudhani wote ni wanaccm maana wote wana kadiSibahatishi ninachokisema. Kwa taarifa yako sasa hivi kwenye kizazi hiki kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa sio fashion. Sasa hivi vyama viko mioyoni mwa watu zaidi kuliko kuwa wanachama kwa maana ya itikadi. Ccm wangalau kwenye vitabu vyake inaweza kuwa na wanachama wengi kwa mantiki ya kuuza kadi, lakini wanachama wafuata itikadi yao ni vijana wachache sana na wazee wengi. Zaidi ya 70% ya wanaomiliki kadi, wanazimiliki kwa minajidili ya kufanikisha shughuli zao, ambapo ukiwa na kadi ya ccm ni rahisi kupewa upendeleo kwenye mifumo na taasisi kadhaa za nchi.
Mkuu utafiti wako uliufanyia wapi?Sibahatishi ninachokisema. Kwa taarifa yako sasa hivi kwenye kizazi hiki kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa sio fashion. Sasa hivi vyama viko mioyoni mwa watu zaidi kuliko kuwa wanachama kwa maana ya itikadi. Ccm wangalau kwenye vitabu vyake inaweza kuwa na wanachama wengi kwa mantiki ya kuuza kadi, lakini wanachama wafuata itikadi yao ni vijana wachache sana na wazee wengi. Zaidi ya 70% ya wanaomiliki kadi, wanazimiliki kwa minajidili ya kufanikisha shughuli zao, ambapo ukiwa na kadi ya ccm ni rahisi kupewa upendeleo kwenye mifumo na taasisi kadhaa za nchi.
Na futuhi inamhenyesha jamaa yenu Magu mpka anataka kuwa kichaaUpinzani ulisha kufa 2015 kilichobaki ni futuhi.
Mkuu utafiti wako uliufanyia wapi?
lini?
kuko kudhania kwako kunafanya nkuone unamihemuko binafsi
Ccm haina wanachama wote hao. Ile ni namba za kuzingulia watu .We mzee kumbe unafanana sana matendo na nyumbu
Ok wapigakura ni ml28 je ukijumlisha hao wote unapata ngapi? ukitaka +na wafanyakazi wa serikali
wanachama wa ccm pekee wanatosha kumrudisha jpm madarakani
nyie endeleeni kupiga ramli tuu [emoji16][emoji16][emoji16]
M mwenyewe npo tanzania na hali halisi ni vijana wengi sana watampigia kura magu sababu kazi yake inaonekana kuanzia kuwabana mafisadi hadi kuongeza uwajibikaji kwa ofisi za serkali hadi jinsi alivyopambana na covd19 wote niliongea nao wamenihaidi kuumpa kuraKwani utafiti wa hali halisi ni lazima utumie nguvu kubwa? Niko hapa hapa nchini na uhalisia naujua boss.
Lete takwimu zako za uhakika kwa vyama vyote!!Ccm haina wanachama wote hao. Ile ni namba za kuzingulia watu .
HUYU SIO CHADEMA,TUPATUPA NI KADA WA CCM,MARA NYINGI HUQMUA KUWA OBJECTIVE, TU LABDA WEWE NI MGENI HAPA JAMVINIππππ CHADEMA bhana
Chagua JPM chagua ufukara, kutekwa na kuptezwa, kuonewa ktk misingi ya itikadi, neonate salaries, "kupoteza" mafao yako,.......... don't try even...JPM for presidency.