Ujajibu swali, kwenye Makampuni makubwa hapo ushakosa kazi
Sawa kabisa kwa hao wakienda kupiga kura. Ila hawa ni uhakika wataenda kupiga kura maana wao na familia zao imewatendea yaliyostahili, na wanahitaji Rais Magufuli aendelee kuwepo ili miradi mikubwa ikamilike:-Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.
Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.
Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.
Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
ngoja nijikite kwe ajira...hayo mengine kwangu ni blablaa tuu
Je ni mazingira gani mazuri unayoyamaanisha maana hadi hapa walpofkiaa kwa kuanzia panatosha
1)mikopo kwa walemavu
2)mikopo kwa vijana
4)mikopo ya vikundi
👆hiyo yote hutolewa na halmashauri so nenda kwe halmashaur uliopo kwa maelezo zaidi
Bado pia sekta binafsi zinatoa mikopo nafuu na serkali ilpunguza riba
jmn msisahau bado nchi yetu ni maskini tunajikongoja mdomdo hata nyie wapinzani(wote)mkipewa inchi saiv bado itawachukua zaidi ya miaka 20 mabadiliko mnayoubiri kuonekana
by the way mimi sio mwanasiasa ni vile tuu najua how government works
we nae acha udunya basi mbona nakueshimu.Na kweli ww sio mwanasiasa ndio maana unaleta porojo. Unasema nchi yetu bado ni masikini, huku unayetaka tumpe kura anasema nchi hii ni tajiri sana, tushike lipi? Inaonekana hujui lolote ndio maana umetekwa na hivi vikundi vya propaganda, ndio maana unasema niende halmashauri nikapate mkopo. Unajua sifa na kiwango cha kupata huo mkopo wa halmashauri, achia mbali usumbufu wake? Inaonekana ww ni mtu wa ofisini, ndio maana unaongea nadharia za kwenye vyombo vya habari vinavyobeba propaganda za serikali. Ni vyema ukakaa kimya tu.
Mkuu sijui kama umemuelewa vizuri mleta mada.sikumaanisha hivyo
nilimaanisha awajumlishe walovunjiwa na kutumbuliwa na wafanyakazi wa serkali wote kwa ujumla wao bado ni wachache sana kuliko wanachama pekee wa ccm
Sorry nafkir sikupangilia maneno viziri kwe koment yangu apo [emoji115]
Tanzania kuna mashabiki wa vyama siyo wanachama.Lete takwimu zako za uhakika kwa vyama vyote!!
af chadema haina wanachama ml3 hizo ni namba za kuzugia tuu idadi yao ni laki na nusu.
M mwenyewe npo tanzania na hali halisi ni vijana wengi sana watampigia kura magu sababu kazi yake inaonekana kuanzia kuwabana mafisadi hadi kuongeza uwajibikaji kwa ofisi za serkali hadi jinsi alivyopambana na covd19 wote niliongea nao wamenihaidi kuumpa kura
Chagua JPM kwa maendeleo ya TZ.Chagua JPM chagua ufukara, kutekwa na kuptezwa, kuonewa ktk misingi ya itikadi, neonate salaries, "kupoteza" mafao yako,.......... don't try even...
Na watumishi wa umma, ndugu, jamaa na rafiki zao.Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.
Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.
Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.
Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
Chagua JPM chaguwa matatizo, chagua kutekwa,kupoteza na wasio julikana, chagua mshahara wako kubaki vile vile, chagua kudhulumiwa na mifuko ya hifadhi za jamii, chaguwa kulipishwa kodi ya kukata mtaji, chagua kufilisika, chagua kukosa uhuru wa itikadi yako, chaguwa kunyang'anywa mazao yako, chagua kulimia meno,........kwa miaka 5 tumeshuhudia kila ubaya, usifanye kosa tena. JPM hafai na ushahidi upo.Chagua JPM kwa maendeleo ya TZ.
Wanaachaje kwenda kupiga kuraKwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.
Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.
Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.
Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)
Acha porojoo dada. Wanachama hai wa CCM hawafiki milioni 5.Ccm inawanachama 8ml
maneno ya busara toka kwa nyumbu 😂😂Wafuasi wa Ccm, hata kusoma na kuandika hamjui ?!. Bado una nafasi rudi ukajiongezee maarifa
em usnambukize unyumbu mie....Acha porojoo dada. Wanachama hai wa CCM hawafiki milioni 5.
Hilo kundi so far ni 50/50.Bodaboda zinashona pande zote mbili!Bodaboda, wamachinga na wenye upeo wa kuona mbali (visionary people) wanatosha kuipa CCM okay!
Hao kwani wingi wao kulinganisha na umma wa watu ni kitu gani? Hao sio ndio wanaojaa kwenye mikutano ya cdm wala ccm haina hofu kukosa kura zao.Kwa ngazi zote za Urais, Ubunge na Udiwani. Kama chama tawala kinachoomba ridhaa ya miaka mitano mingine, tukeshe tukiomba kuwa hawa wafuatao wasiende kupiga kura Oktoba 28 mwaka huu. Wakienda na wakipiga kura, CCM hatutakuwa na chetu. Watapiga kura za uchungu na kuukataa uchungu zaidi. Zitakuwa kura za kuponya mioyo yao kwakuwa watakuwa wametoa maumivu yao kupitia kukataa.
Hawa wakienda kupiga kura, CCM lazima ije na mbinu mbadala kuliko daladala. Wataikataa CCM na wagombea wake mchana peupe. Wataikataa CCM na wagombea wake kwa kutumia kadi zao za kupigia kura, kwenda kwao kupiga kura. CCM itakataliwa kwa maumivu yaliyotokana na matendo na maneno ya Serikali iliyoundwa nao. Nawataja wa uchache watu hao ambao kama CCM tunapaswa kukesha tukiomba wasiende kupiga kura.
Waliobomolewa nyumba na biashara zao bila kulipwa fidia pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofukuzwa kazi kwa sakata la vyeti bila kupewa hata sumni pamoja na kufanya kazi kwa miongo kadhaa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliopatwa na majanga ya asili bila kupata msaada wa kiserikali pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zao; waliofungiwa biashara na shughuli zao za kiuchumi kwa njia za kibabe pamoja na wategemezi wao.
Na wote ambao wameoisoma namba kwa namna moja au nyingine!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kagera, Tanzania)