Mkuu naheshimu sana ID yako. Unaweza kutusaidia makampuni au majina ya watusi waliyopewa migodi waliyonyang'anywa wazawa?Ndivyo watu wabaya wanavyokuwa ili mhadaike.
Unasema hana makuu wakati kwenye madini aliwanyang'anya sana maeneo Watanzania na wawekezaji, halafu akawapa watusi wenzake.
Na amekula sana rushwa kwenye madini lakini akiongea sentensi mbili lazima anukuu biblia ili kuwahadaa wasiomjua.
Sukuma gang wengi ni wahamiaji haramu
SijakuelewaHicho cheo halipo
Really?Mtutsi huyu anataka kuhamisha magoli mada inamchoma
Inasikitisha sana kwakweliMie kuna mmoja namfahamu...hayupo serikalini ila yuko kwenye taasisi nyeti ya Elimu.....ni mkimbizi toka Burundi anaitwa Isidore Minani...yupo RUCO Iringa.....Sasa ndugu zake wapo Serikali kuu kwa majina tofauti
Anaitwa nani na yupo kituo kipi mkuuNamfahamu mmoja ni polisi jamaa ni mnyarwanda ata siku ya Harusi yake alivaa mavazi ya asili ya kitutsi
Huyo Hangaya mwenyewe si ni raia wa Oman au?
Tanzania halisi ni barbaigHadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu
Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
Walichokitafuta wamekipata watu sasa wanatafuta mbuzi wa kafara.Ndivyo watu wabaya wanavyokuwa ili mhadaike.
Unasema hana makuu wakati kwenye madini aliwanyang'anya sana maeneo Watanzania na wawekezaji, halafu akawapa watusi wenzake.
Na amekula sana rushwa kwenye madini lakini akiongea sentensi mbili lazima anukuu biblia ili kuwahadaa wasiomjua.
Huyu hapa mwingineMimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.
watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Mwingine huyu hapaWalichokitafuta wamekipata watu sasa wanatafuta mbuzi wa kafara.
Dotto Biteko unajua pacha wake Kulwa ni civil servant wizara ya mambo nje, mara ya mwisho alikuwa na Kipilimba Namibia (wengi hawa wa kwenye admin za mabalozi uwa ni maafisa usalama). Tena jamaa alishinda kura ya maoni ubunge jimbo lina lips kans na Dotto akakatwa tu na Magufuli.
Pelekeni watoto shule acheni kulalamikia mafanikio ya wenzenu. Kuna wahangaza kibao wanaongea kinywarwanda ushawahi kukaa nao, ebu tafuta walio nje ya nchi si wangekuwa wanatafuta wanyarwanda kwenye pingu za mbona wengi wanaishia kutafuta watanzania wenzao wa kabila lolote, kwa sababu wao wanajitambua ni watanzania.
Acheni huo ubaguzi
Unawazungumza wahutu? Unasahau wamakonde, wangoni na wamasai? Hivi wamanyema na wahangaza asili zao wapi? Huyo Aliemuita mwenzie Mkimbizi nae ukimchunguza ni walewale, mesut Ozil na ukimbizi wake alikuwa shujaa wao wajerumaniMimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.
watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
TanganyikaZanziba na nchi gani ziliungana kweli
Au ndo... au basi bhana