Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi

Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.

Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?

Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.

Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.

- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Pitieni huu uzi
USA, kuna wa bongo, baada ya kustaafu katika mashirika ya UN, USA, wanaamia USA, na watoto wao, wakifika, mtoto kama chini ya 18,anajiunga na jeshi LA marekani, na maisha yanaendelea! Hapa bongo ukiwa na jina linalofanana na majina kutoka Rwanda, Uganda, Burundi, unatiliwa mashaka!
Kwenye uchaguzi wa chama cha wana sheria kuna wakili anaitwa Kaunda, hakuna kelele kwamba sio raia kwa vile anajina kama wa Zambia, lakini ange kuwa na jina kama ya Uganda, Burundi, Rwanda! Balaa lake!!!
 
USA, kuna wa bongo, baada ya kustaafu katika mashirika ya UN, USA, wanaamia USA, na watoto wao, wakifika, mtoto kama chini ya 18,anajiunga na jeshi LA marekani, na maisha yanaendelea! Hapa bongo ukiwa na jina linalofanana na majina kutoka Rwanda, Uganda, Burundi, unatiliwa mashaka!
Kwenye uchaguzi wa chama cha wana sheria kuna wakili anaitwa Kaunda, hakuna kelele kwamba sio raia kwa vile anajina kama wa Zambia, lakini ange kuwa na jina kama ya Uganda, Burundi, Rwanda! Balaa lake!!!
Sasa umeandika nn rfk angu
 
USA, kuna wa bongo, baada ya kustaafu katika mashirika ya UN, USA, wanaamia USA, na watoto wao, wakifika, mtoto kama chini ya 18,anajiunga na jeshi LA marekani, na maisha yanaendelea! Hapa bongo ukiwa na jina linalofanana na majina kutoka Rwanda, Uganda, Burundi, unatiliwa mashaka!
Kwenye uchaguzi wa chama cha wana sheria kuna wakili anaitwa Kaunda, hakuna kelele kwamba sio raia kwa vile anajina kama wa Zambia, lakini ange kuwa na jina kama ya Uganda, Burundi, Rwanda! Balaa lake!!!
nachojua mimi,mwenyeji wa nchi hii kialali kabisa ni wagogo peke yake!!!!,,,,ndo manake NDUGAI alikuwa na hasira kali dhidi ya deni la taifa kupaa!!!...ok,wangonii asli yao south africa, wahaya-uganda,waangaza-rwanda'wajaluo-nigeria,wamasai,wachaga na wameru-ethiopia,wasambaa,wadigo na wapare-kenya,,,,,wamakonde-msumbiji,,,,niishie tu hapo,,,,,,kama vipi wote turudi kwenye nchi zetu tumwachie NDUGAI awe rais na atawale wagogo wenzake{hii ni nchi ni ya wagogo bhana!!!!,tuache kujifanya wazalendo}
 
Back
Top Bottom