Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndivyo watu wabaya wanavyokuwa ili mhadaike.

Unasema hana makuu wakati kwenye madini aliwanyang'anya sana maeneo Watanzania na wawekezaji, halafu akawapa watusi wenzake.

Na amekula sana rushwa kwenye madini lakini akiongea sentensi mbili lazima anukuu biblia ili kuwahadaa wasiomjua.
Mkuu naheshimu sana ID yako. Unaweza kutusaidia makampuni au majina ya watusi waliyopewa migodi waliyonyang'anywa wazawa?
 
Bila ya shaka watakuwa wamepata somo la kupunguza kuropoka. Yaani watanzania walivyo na chuki na mafanikio ya wenzao huku ni kutoa sababu tu za kutaka kuona watu wa aina wafulani waonekane ni raia daraja la pili hawastahili kushika nafasi za uongozi.

Very irresponsible statement nchi zilizoendelea kwa kauli yenye kugawa jamii kama ivyo kwa nafasi yake kesho magazeti yanaanzisha harakati za kumtaka astaafu.

Jamani failures zetu za maisha katika uwanja ambao changamoto zetu zinafanana, mwingine akitoboa ni maarifa yake au baraka zake kutoka kwa muumba; sio tena kuwatafutia sababu hawastahili.

Huko Mtwara ni wamakonde wa Tanzania ndio waliokuwa wakiwaficha wenzao wa msumbiji; sasa tuitimishe wamakonde hawastahili kushika nafasi Tanzania, wakati tushakuwa na raisi wa kabila hilo.

Kwenye ili kamanda kapotoka, ile sio kauli ya kujenga nchi; isipokuwa ni ya kubomoa mshikamano wa nchi.
 
Baada ya hotba lazma amiri jeshi mkuu apewe makartasi yote kama wapo hao walioteuliwa watajulikana tu
 
Ndivyo watu wabaya wanavyokuwa ili mhadaike.

Unasema hana makuu wakati kwenye madini aliwanyang'anya sana maeneo Watanzania na wawekezaji, halafu akawapa watusi wenzake.

Na amekula sana rushwa kwenye madini lakini akiongea sentensi mbili lazima anukuu biblia ili kuwahadaa wasiomjua.
Walichokitafuta wamekipata watu sasa wanatafuta mbuzi wa kafara.

Dotto Biteko unajua pacha wake Kulwa ni civil servant wizara ya mambo nje, mara ya mwisho alikuwa na Kipilimba Namibia (wengi hawa wa kwenye admin za mabalozi uwa ni maafisa usalama). Tena jamaa alishinda kura ya maoni ubunge jimbo linalopakana na Dotto akakatwa tu na Magufuli.

Pelekeni watoto shule acheni kulalamikia mafanikio ya wenzenu. Kuna wahangaza kibao wanaongea kinywarwanda ushawahi kukaa nao, ebu tafuta walio nje ya nchi si wangekuwa wanatafuta wanyarwanda kwenye pingu za mbona wengi wanaishia kutafuta watanzania wenzao wa kabila lolote, wapo kwenye jumuiya za Tanzania ni kwa sababu wao wanajitambua ni watanzania.

Acheni huo ubaguzi
 
Hili la wakimbizi kujipenyeza kwenye maamuzi ni la siku nyingi kuanzia miaka ya 1970. lifike mwisho kiusalama siyo la kucheka nalo. likiota mizizi litaigharimu nchi.wengi wanapitia kwenye siasa.
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Huyu hapa mwingine
 
Walichokitafuta wamekipata watu sasa wanatafuta mbuzi wa kafara.

Dotto Biteko unajua pacha wake Kulwa ni civil servant wizara ya mambo nje, mara ya mwisho alikuwa na Kipilimba Namibia (wengi hawa wa kwenye admin za mabalozi uwa ni maafisa usalama). Tena jamaa alishinda kura ya maoni ubunge jimbo lina lips kans na Dotto akakatwa tu na Magufuli.

Pelekeni watoto shule acheni kulalamikia mafanikio ya wenzenu. Kuna wahangaza kibao wanaongea kinywarwanda ushawahi kukaa nao, ebu tafuta walio nje ya nchi si wangekuwa wanatafuta wanyarwanda kwenye pingu za mbona wengi wanaishia kutafuta watanzania wenzao wa kabila lolote, kwa sababu wao wanajitambua ni watanzania.

Acheni huo ubaguzi
Mwingine huyu hapa
 
We mjinga umesoma nilichoandika? Kwa hivyo nikiandika Bashe msomali kusahihisha aliyesema Bashe mnyamwezi nami naingia kwenye hao mahasidi? Jitambue
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Unawazungumza wahutu? Unasahau wamakonde, wangoni na wamasai? Hivi wamanyema na wahangaza asili zao wapi? Huyo Aliemuita mwenzie Mkimbizi nae ukimchunguza ni walewale, mesut Ozil na ukimbizi wake alikuwa shujaa wao wajerumani
 
Back
Top Bottom