mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Nyamnyam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmechelewa mno tu kuujua Mkakati.
Mfano mnasema kinana sio mTz ni msomaliTaja jina upo jf hapa
Kama hii, Karume kaacha vizazi vingapi Tanzania?🤣😂Abeid Aman Karume alzaliwa Nyasalana Malawi
Born 4 August 1905
Nyasaland (now Malawi)Died 7 April 1972 (aged 66)
Zanzibar City, TanzaniaManner of death Assassination, Gunshot wound Resting place Kisiwa Nduwi, Zanzibar Town Nationality Tanzanian Political party Afro-Shirazi Party Spouse Fatma Karume
Labda wagogo wa Kongwa tu ndio Orijino. 🙏🙏Hadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu
Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
Baraka de prince ni mkenyaBaraka ndio nani huyo Mkuu hatumjui
Obama naye ni mjaluoMfano mnasema kinana sio mTz ni msomali
Haya Jwtz mlimruhusu kuingia ili iweje, ameshashika nyadhifa mbalimbali mpaka katibu mkuu CCM. Ana miaka 70's kazalisha Tanzania.
Mmechelewa!
Muhimu mtu asivunje sheria hilo tuObama naye ni mjaluo
Sunak naye ni muhindi
Boris Johnson naye ni mturuki
Donald Trump naye ni mjerumani !
Cheap politics !
Watu wote Duniani ni wahamiaji hamiaji tu kutoka sehemu moja hadi nyingine Kutafuta maisha !
Hakuna watu walioteremshwa moja kwa moja toka mbinguni hadi hapa Dodoma !!
Mmechelewa mno tu kuujua Mkakati.
Ni fursa.Mfano mnasema kinana sio mTz ni msomali
Haya Jwtz mlimruhusu kuingia ili iweje, ameshashika nyadhifa mbalimbali mpaka katibu mkuu CCM. Ana miaka 70's kazalisha Tanzania.
Mmechelewa!
Yaani CDF nae anataka kiki....teh teh.Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Pitieni huu uzi
Wenye Akili na tunaowajua vyema Wanyarwanda na Rais wao tumemuelewa vyema na kukubaliana nawe 100% kwa Ulichokiandika hapa ila sasa kaa tayari kupingwa na Mizuzu / Mijuha iliyoko hapa ambayo Kutwa tu ina Chuki na Watutsi, Rwanda na Rais Paul Kagame.Ni fursa.
Walichangamkia fursa na wakazitumia ipasavyo.
Mimi binafsi nina marafiki ambao kiukweli walichangamkia fursa khasa za elimu bure na mambo mengine kedekede, lakini wengi wao watokea nchi hizohizo tajwa.
Pia hawa jamaa shuleni hadi chuo kikuu walikuwa ni mahiri sana katika tasnia ya masomo.
Mimi nilikuwa sichezi mbali nao khasa kwenye vile vipindi vya prep ( kwa wale walosoma bweni) maana "brain storming" ilikuwa ya uhakika na leo hii imetujenga sana kielimu, kitaalam na kiueledi.
Katika wote hao, ni wale wa kutoka Rwanda ambao leo hii wameijenga nchi hiyo katika kila sekta, tena ndani ya miaka 30 baada ya vita.
Kiuhalisia na kwa lugha ya kistaarabu kabisa naweza kusema kwamba watanzania wengi au "majority" na ambao ndo wapiga kura, ni wale wa kuwachukulia kwa ule msemo wa "wajinga ndo waliwao".
Ukitaka kufahamu kwa undani nnachomaanisha angalieni na sikilizeni yanosemwa sasa hivi majukwaani.
Kama mtu ni mhamiaji na ana sifa kwanini asitumie fursa kwenda mbele? Mbona watu hata wahindi huko Ughaibuni wana asili ya nje lakini leo hii ni mawaziri wakuu?
Mwisho, Rwanda leo imetimiza miaka 30 tangia mauaji ya Kimbari yatokee, na raisi Paul Kagame amewataka vijana wake (wengi wana miaka 30 sasa) kuijenga Rwanda na wale wenye miaka 25 kujiandaa kuchukua kijiti cha maendeleo.
Wanyarwanda kila mwaka hufanya mkutano wa kitaifa uitwao "Umushyrikiano" ambao hujadili masuala mbalimbali yakiwemo mstakabali wa hali ya nchi, ufanisi wa mifumo ya kitaifa na umoja wa kitaifa.
NB:
Mimi si mnyarwanda lakini nina marafiki wengi sana ambao nimekuwa nao, nimesoma nao na nimeishi nao ambao ni wakongo, warundi na wanyarwanda.
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Pitieni huu uzi
Kwa hiyo wagombea wetu wa utahisi wawe watu WA Kingwa Tu,angalau Kwa miaka 100 ijayoLabda wagogo wa Kongwa tu ndio Orijino. 🙏🙏
Hapana !Kwa hiyo wagombea wetu wa utahisi wawe watu WA Kingwa Tu,angalau Kwa miaka 100 ijayo
Hapa Professor Kabudi anaongea tumsikilizeKwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Pitieni huu uzi
Juzi kahamia CCM kwenye mwamvuli wa uhalifu!Tuanza na Upendo Peneza ni Mnyarwanda,pale Geita kuna wanyarwanda wengi sana,serekali kama wako serious waanze na ule mkoa,unafanya kazi na mdada pale GGM ghafla unashangaa unachangishwa mchango wa Harusi anaolewa Kigali kisha unaambiwa ni Mnyarwanda....waanze na Upendo Peneza na kaka yake Baraka