Hawa wanaitwa Konnect wanatoa internet ya satellite wakoje hasa?

Hawa wanaitwa Konnect wanatoa internet ya satellite wakoje hasa?

Hii itatufaa sana sisi ambao hatujafikiwa na Fiber na tunauhitaji wa hili. inabidi wawe Serious na kutoa huduma na isiwe wanafanya matangazo na utoaji wa Huduma ni ZERO.

Nimeingia kwenye page yao comments nyingi wanalalamikia Huduma, Simu hazipokelewi, Fomu hazijarudishwa majibu nk.
Wapuuzi hawapokei simu.
Ukiwapigia wanasema wanakuunganisha na mtoa huduma wa eneo lako, ila hupigiwi simu kabisa
 
IMG_4881.png


Cc. [mention]Chief-Mkwawa [/mention] [mention]Nafaka [/mention] [mention]Lycaon pictus [/mention]& [mention]Root [/mention]
 
Hawana issue mkuu, TTCL 4mbps ina value kushinda hio. Unless upo ndani ndani sana.
Niko kwenye mchakato wa kupata hii ya TTCL nataka nijue kwa uzoefu wako hiyo speed ya 4mbps iko real au magumashi

Nishaenda ofisi zao wamenijazisha fomu halafu wameniambia wanakuja kufanya survey.

Lakini nimejaza kifurushi cha 4mbps ili nione kama kasi itanifurahisha maana nimeambiwa nina nafasi moja ya kubadili aina ya kifurushi so nikaona bora nianzie hiki cha chini ili hata baadaye nikiona fresh nipande dau.
 
Niko kwenye mchakato wa kupata hii ya TTCL nataka nijue kwa uzoefu wako hiyo speed ya 4mbps iko real au magumashi

Nishaenda ofisi zao wamenijazisha fomu halafu wameniambia wanakuja kufanya survey.

Lakini nimejaza kifurushi cha 4mbps ili nione kama kasi itanifurahisha maana nimeambiwa nina nafasi moja ya kubadili aina ya kifurushi so nikaona bora nianzie hiki cha chini ili hata baadaye nikiona fresh nipande dau.
TTCL wana customer care mbovu sijui waajiriwa wote wanatokea ukoo mmoja kama una nyodo basi ni wote. Cha ajabu wafanyakazi hawajui offering ya kampuni yao, yani Chief Mkwawa anajua vitu vingi kuwahusu wao na mitisheti yao hawajui. Hii nchi ngumu sana
 
TTCL wana customer care mbovu sijui waajiriwa wote wanatokea ukoo mmoja kama una nyodo basi ni wote. Cha ajabu wafanyakazi hawajui offering ya kampuni yao, yani Chief Mkwawa anajua vitu vingi kuwahusu wao na mitisheti yao hawajui. Hii nchi ngumu sana
🤣🤣🤣🤣
 
TTCL wana customer care mbovu sijui waajiriwa wote wanatokea ukoo mmoja kama una nyodo basi ni wote. Cha ajabu wafanyakazi hawajui offering ya kampuni yao, yani Chief Mkwawa anajua vitu vingi kuwahusu wao na mitisheti yao hawajui. Hii nchi ngumu sana
Ni kweli unachokisema yani nimefika ofisini kwao wananilazimisha nijaze form ya kampuni wakati kipengele cha personal kipo

Nikawaambia kampuni mi sina mi ni mtu tu kama wewe sasa unanilazimishaje nijaze form ya kampuni na wakati hata Tin number sina

Nikaona tunabishana ikabidi nimuoneshe maelezo ambayo yapo kwenye website yao ikabidi hapo ndio akubali
 
Ni kweli unachokisema yani nimefika ofisini kwao wananilazimisha nijaze form ya kampuni wakati kipengele cha personal kipo

Nikawaambia kampuni mi sina mi ni mtu tu kama wewe sasa unanilazimishaje nijaze form ya kampuni na wakati hata Tin number sina

Nikaona tunabishana ikabidi nimuoneshe maelezo ambayo yapo kwenye website yao ikabidi hapo ndio akubali
Ttcl ipi mkuu ?
 
Hii karibia na quality centre?
Hapana ni huku barabara ya mandela kama unatokea ubungo unaelekea taifa, wacheki kupitia namba yao ya msaada watakuambia kituo cha karibu na wewe
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hapana ni huku barabara ya mandela kama unatokea ubungo unaelekea taifa, wacheki kupitia namba yao ya msaada watakuambia kituo cha karibu na wewe
Ndo najiuliza sokota ipi..baada ya tazara si ndo sokota mkuu kama unaenda taifa
 
Ndo najiuliza sokota ipi..baada ya tazara si ndo sokota mkuu kama unaenda taifa
Yap ndio hiyo hiyo, sasa ulivyosema Quality center ulinichanganya maana navyojua hiyo quality senta ipo nyerere road mtava
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Yap ndio hiyo hiyo, sasa ulivyosema Quality center ulinichanganya maana navyojua hiyo quality senta ipo nyerere road mtava
Nilijua labda mkuu umemanisha hiyo...sokota ni nzuri sana make niko karibu na hayo maeneo
 
Back
Top Bottom