HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ni wapuuzi hao, mi walipokea mara moja hawajawahi pokea tenaMkuu ebhu nishauri nataka kufunga Internet nyumbani...hawa konnect hawarespond kabisa tokea asbh sms znasomwa no replay
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapuuzi hao, mi walipokea mara moja hawajawahi pokea tenaMkuu ebhu nishauri nataka kufunga Internet nyumbani...hawa konnect hawarespond kabisa tokea asbh sms znasomwa no replay
Tatizo ni kuwa mishahara yao ipo kampuni ipate au isipate faida hutasikia redundance.....TTCL wana customer care mbovu sijui waajiriwa wote wanatokea ukoo mmoja kama una nyodo basi ni wote. Cha ajabu wafanyakazi hawajui offering ya kampuni yao, yani Chief Mkwawa anajua vitu vingi kuwahusu wao na mitisheti yao hawajui. Hii nchi ngumu sana
Hii ni fact mkuu, wafanyakazi wengi hawajua huduma zao unaweza mwambia kitu akabaki ametoa macho na sasa kama hajui anataka kukuongopea ukijarbu mwelewesha ndo shdaNBongo wafanyakazi wengi hawajui bidhaa za kampuni zao. Nenda hata NMB, CRDB, Voda nk nk ona wanavyobabaika na kuzunguka.
Waulize hazihesabiwi kwa speed? Ama hazihesabiwi sababu mchana sio unlimited?
Vyema mkuu upate mtu anaeitumia ama kama ofisini kwao kuna demo ukatest ujiridhishe
angalia comment no 22 uzi huu huu jibu limepatikanaKweli nisijeingizwa chakike
angalia comment no 22 uzi huu huu jibu limepatikana
Hawa wanaitwa Konnect wanatoa internet ya satellite wakoje hasa?
Hii itatufaa sana sisi ambao hatujafikiwa na Fiber na tunauhitaji wa hili. inabidi wawe Serious na kutoa huduma na isiwe wanafanya matangazo na utoaji wa Huduma ni ZERO. Nimeingia kwenye page yao comments nyingi wanalalamikia Huduma, Simu hazipokelewi, Fomu hazijarudishwa majibu nk.Wapuuzi...www.jamiiforums.com
Wameshaanza kuharibu mapema kabisa.. Nilikuwa nimeshavutiwa naona tayari nshatiwa ndimuHii itatufaa sana sisi ambao hatujafikiwa na Fiber na tunauhitaji wa hili. inabidi wawe Serious na kutoa huduma na isiwe wanafanya matangazo na utoaji wa Huduma ni ZERO.
Nimeingia kwenye page yao comments nyingi wanalalamikia Huduma, Simu hazipokelewi, Fomu hazijarudishwa majibu nk.
TTCL wamenisumbua miezi minne ila speed yao si mchezoTatizo TTCL hadi uwalambe miguu
Upo wap na hiyo shida ad leo unaipataHii itatufaa sana sisi ambao hatujafikiwa na Fiber na tunauhitaji wa hili. inabidi wawe Serious na kutoa huduma na isiwe wanafanya matangazo na utoaji wa Huduma ni ZERO.
Nimeingia kwenye page yao comments nyingi wanalalamikia Huduma, Simu hazipokelewi, Fomu hazijarudishwa majibu nk.
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIAWekeni na Terms and Conditions,
Kutoka kampuni husika sio kuishia kusoma offer ya 60000 basi.
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIAWapuuzi hawapokei simu.
Ukiwapigia wanasema wanakuunganisha na mtoa huduma wa eneo lako, ila hupigiwi simu kabisa
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIATatizo TTCL hadi uwalambe miguu
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIANaweza kukupa mawasiliano ya MD wao kama utakuwa hujafanikiwa bado. Utapata ufumbuzi haraka
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIANi wapuuzi hao, mi walipokea mara moja hawajawahi pokea tena
KONNECT📡 MTANDAO WA INTERNET📶 WENYE KASI ZAIDI🛩️ TANZANIANimeona jamaa hawa wanatangaza internet yao ya satellite kwa 60k kwa mwezi. Huko nyuma nomewahi sikia kwamba internet ya satelilite huwa slow sana ukifananisha na ya cable/minara.
Pia naona unatakiwa kuwa na dish na mambo mengine mengi tu. Kwa aliyeitumia, inapatikana maeneo gani nchini? Ni nzuri na nafuu kama wanavyodai?
Apana boss kulipia siyo lazima mwaka mzima yan iko iv mteja ili kumuondolea usumbuf wakulioa mara kwa mara wakayoa ofa mf. Kulipa konnect 20 mwez unalipa kwa sh elf60 sasa ikitokea mteja anataka kudable miez ya malipo tunampa offer yakulipa miez 11 kwa laki mbil tu ko anapata huduma kwa miez kumi na moja bila kulipia ukitaka maelez zaid pia 0763038490 watakueleza utaenjoyDuh kumbe kulipia mpka mwaka mzima [emoji23][emoji23][emoji23]