Hawa wanaitwa Konnect wanatoa internet ya satellite wakoje hasa?

Hawa wanaitwa Konnect wanatoa internet ya satellite wakoje hasa?

Wakuu, nauza Huawei Switch

Model: S5720-52P-PWR-LI-AC
Ports: 48ports 10/100/1000 base T ports, 4 Gig SFP ports
Fowarding perfomance: 87 Mpps/ 144 Mpps
PoE support: PoE+
Switch capacity: 336 Gbit/s
Power: AC power supply supporting RPS

AddOns:
Managable
Supports both GUI and CLI
Layer 3 switch

Njoo na 2,200,000 tu.

NOTE: Maongezi kidogo yapo.
 
KONNECT[emoji341] MTANDAO WA INTERNET[emoji687] WENYE KASI ZAIDI[emoji2929] TANZANIA

KONNECT[emoji2930] ni mtandao wa internet unaotoa huduma ya internet[emoji341] kwenye Ofisi[emoji161], Nyumbani🛖, Hospital[emoji541], Shule[emoji309], Vyuo[emoji310], Hardware [emoji62][emoji3548], Showroom [emoji2914], Supermaket [emoji2920] , Viwandani [emoji3541], Garage[emoji2923], Stationary[emoji419][emoji420], Pharmacy [emoji381]Hotels [emoji2421] n.k

KWA NINI UCHAGUE KONNECT? [emoji2930][emoji2930]
Tunajua umechoka kusubiri mtandao [emoji687] wako ili kuweza ku download [emoji3593]au kufungua taarifa.
Mtandao wa Satelite [emoji2930] wa KONNECTsasa unapatikana nchini Tanzania. Ambapo tuna uzoefu wa kutoa huduma ya mtandao [emoji687] yani INTERNET[emoji341] kwa miaka 40 Kupitia, satelite [emoji2930]yetu ya KONNECT. Ambayo ina kasi ya juu zaidi ya Internet hadi Mbps 100 per sec kwa watu bila kujali wanaishi wapi.

Huduma hii inapatikana kwa njia ya satelite [emoji2930] ambayo inakuunganisha wewe kutoka kwenye antena [emoji341] yako kwenda kwenye satelite [emoji2930] zetu moja kwa moja za eurosat ambayo inakupa wewe mteja internet[emoji687] yenye speed [emoji2929] kubwa na yenye uwezo bila kikwazo chochote cha hali ya hewa [emoji3547][emoji2413]

Pata internet isiyo na kikomo kwa kulipia mwezi na utumie kadri uwezavyo bila kujali umetumia matumizi ya ukubwa gani kipindi chote unacho peruzi kwa speed [emoji2929] hadi mbps 100 kwa sec

Jiunge na wengine kote Tanzania [emoji1241] kwa kutumia huduma zetu leo[emoji2930]
Jiunge na data isiyo na kikomo popote Tanzania unganisha hadi vifaa 100

Bei zetu ni nafuuu mnooo ili kupata maelezo zaidi na kupata huduma hii
Wasiliana nasi[emoji338]Kwa Simu 0763038490
MWANZA.
Au Kwa WhatsApp [emoji336]0763038490
Timu yetu ya wataalamu wa mauzo iko tayari kukushauri na kukuunganisha.
Mbona kuna mtu ananiambia unapata 20GB ukizitumia hizo 20GB zikiisha speed inakuwa slow?
Naomba kujua hiyo speed kama 100MBps unaipata constant mwezi mzima au huko mbeleni speed inapungua?
Na bei ya dish sh. ngapi?
 
Mbona kuna mtu ananiambia unapata 20GB ukizitumia hizo 20GB zikiisha speed inakuwa slow?
Naomba kujua hiyo speed kama 100MBps unaipata constant mwezi mzima au huko mbeleni speed inapungua?
Na bei ya dish sh. ngapi?
Ndyo speed inapungua kutokana na unavyi tumia boss mf.konnect 20 ambayo starting speed n mbps 20 ila mteja ukitumia kuanzia 0kb had gb 10 mbps znapungua kutoka speed 20mbos had 3mbps ambapo bado ni kubwa lakin kuanzia saa nne usiku ad saa 12 asu uh unatumia kwa speed ile ile ya 20mbps tena free line na ukitaka kifurush ambacho akishuki mbps iko tunakiita priority yan unatembea na mbps zile zile ata ukitumia gb 1000 kwa mwezi mf. Wa kifurush ambacho ni priority 10mbps unatembea na speed ile ile ata ukitumia gb 1000 kwa sku aupew limit yoyt hiko gharama yake ni 460000/= kwa mwezi
 
Mbona kuna mtu ananiambia unapata 20GB ukizitumia hizo 20GB zikiisha speed inakuwa slow?
Naomba kujua hiyo speed kama 100MBps unaipata constant mwezi mzima au huko mbeleni speed inapungua?
Na bei ya dish sh. ngapi?
Na gharama ya ku instal iyo system inatofautiana kidogo kutokana na beam ww upo wap mkuu nkupe bei vzur
 
Nimeona jamaa hawa wanatangaza internet yao ya satellite kwa 60k kwa mwezi. Huko nyuma nomewahi sikia kwamba internet ya satelilite huwa slow sana ukifananisha na ya cable/minara.

Pia naona unatakiwa kuwa na dish na mambo mengine mengi tu. Kwa aliyeitumia, inapatikana maeneo gani nchini? Ni nzuri na nafuu kama wanavyodai?

Hakuna kitu, ukisoma terms zao wamekaa ki mbinu mbinu sana
 
Nilikuwa natamani kujua kama wamekupunguzia uko kwenye mb 1 /sec saa NNE inarudi 20 au inabaki hiyo hiyo moja
 
Je Kwa hiyo mb 1/sec unaeza stream 720 Kwa mtu mmoja Kwa aliyetumia ??
 
Hawa ukifunga dar es salaam ni 1620000/= ila mkoani ni 345000/=
 
Back
Top Bottom