Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa100 huyoFruits ya royo tuwa.
Je mtoto wako aliyehitimu Elimu ya Juu Kwa miaka 5 unapendekeza ipi Kati ya hizo?Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?
Wanahitajika:-
Wachoma mahindi nafasi 2000 Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000 Watembeza mayai mchemsho nafasi 500 Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000 Watembeza barafu nafasi 500 Watembeza mboga mboga nafasi 500
Yoyote itakayomuingizia kipatoJe mtoto wako aliyehitimu Elimu ya Juu Kwa miaka 5 unapendekeza ipi Kati ya hizo?
Ndio mtu akaajiriwe kutembeza mayai?!Tatizo hizo kazi, wengi wanazidharau; bila kujua, matokeo ya kazi ni kipato, na kutembeza kahawa kuna kipato pia.
Sasa kama elimu haitusaidii kutengeneza vitu au kuvumbua, si bora tu tukauze mayai?Ndio mtu akaajiriwe kutembeza mayai?!
Nafasi bado zipommmmh my country people..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu tuonekane tunachagua kazi mkuu, ila siwezi kupambana na sapuuu miaka minne then baada ya hapo nibebe birika ya gahawa na kibeseni cha kashata nianze kuzunguka mjini kati, huku nikiwa naita iyoooo kahawa kashataaaa iyooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]