Kivipi mkuu tuna miaka minne tuko pamoja nilimwambia sitaki mtoto kwa sasa kwo tunaish na mwanae wa miaka 6Nakuona umejitwisha gunia la misumari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu tuna miaka minne tuko pamoja nilimwambia sitaki mtoto kwa sasa kwo tunaish na mwanae wa miaka 6Nakuona umejitwisha gunia la misumari
Piga kazi, ndio kazi zilizobakia, ukichelewa nafasi unakosaHizo ajira au usenge kuna mwingine kaandika ajira ya kuokota taka sio kuzoa taka kuokota taka nafasi 5000 mshahara 250,000/=
Bora Ata mzee kiwandani mshahara laki moja na 10 elfuHizo ajira au usenge kuna mwingine kaandika ajira ya kuokota taka sio kuzoa taka kuokota taka nafasi 5000 mshahara 250,000/=
Kuna demu namjua ana kula 18m per month.Mzee baba kazi gani hiyo 7M
Kwa nini umefanya maamuzi ya namna hiyo?Kivipi mkuu tuna miaka minne tuko pamoja nilimwambia sitaki mtoto kwa sasa kwo tunaish na mwanae wa miaka 6
Viwanda vinapunguza wafanyakazi, masoko machacheBora Ata mzee kiwandani mshahara laki moja na 10 elfu
Inaumiza zaidi watoto wa kike ndio wanaoteseka zaiiiidi km ulikua haujui kuliko wa kiume, wa kiume ni km yatima tu na yatima hadekiPiga kazi, ndio kazi zilizobakia, ukichelewa nafasi unakosa
Hivi umewahi kuokota taka sio makopo takaViwanda vinapunguza wafanyakazi, masoko machache
Kuna vitu vingi vidogo vidogo, mtu akiamua kujilipua mwanga utaonekana.Najua wata chukulia dharau, ila ukiwa na vijana ishu ya mayai, vitumbua Ina hela Sana.
Namjua mdada ana vijana Kama 4, ana pika vitumbua vya 200,300 ka point maeneo ya ofisi.
aisee ana uza zaidi ya vitumbua 300+ per day
Sasa mtu anakwambia ukaokote takaBora Ata mzee kiwandani mshahara laki moja na 10 elfu
Zile kazi zilizokuwa zikiaminika ni za kiume, kwa sasa zikifanywa na mwanamke ni rahisi sana kwake kufanikiwaInaumiza zaidi watoto wa kike ndio wanaoteseka zaiiiidi km ulikua haujui kuliko wa kiume, wa kiume ni km yatima tu na yatima hadeki
Muhimu uwe na vitendea kaziHivi umewahi kuokota taka sio makopo taka
Mpaka mwakani kutakua na idadi kubwa sana ya mabinti wanaouza uchi, mark my words hawa wa 2000 mpaka 40+ biashara yao ndio itakua hioZile kazi zilizokuwa zikiaminika ni za kiume, kwa sasa zikifanywa na mwanamke ni rahisi sana kwake kufanikiwa
Kwa sababu 'nature' ipo pale pale katika kubalansi maisha, wapo wanaokufa, wanaostaafu n.kMpaka mwakani kutakua na idadi kubwa sana ya mabinti wanaouza uchi, mark my words hawa wa 2000 mpaka 40+ biashara yao ndio itakua hio
Sio poa ninayoyaona na yanayoenda kutokea km hali itakua hivi hivi kutalipuka bomuKwa sababu 'nature' ipo pale pale katika kubalansi maisha, wapo wanaokufa, wanaostaafu n.k
Muhimu, mtu ajipange namna ya kupata mkate wake kwa siku.
APEWE VYOMBO'' kwa `MKOPO''NGUNA'' lake la kila siku kwa kujiajiri, kwani FUR$A'' za `AJIRA'' ni nyingi mjini DANJANIA...!MUHESHI.MU.WA'' mmoja aliyekuwa `MGENI RA$IMI'' katika Uzinduzi huo.APEWE VYOMBO'' kwa `MKOPO''NGUNA'' lake la kila siku kwa kujiajiri, kwani FUR$A'' za `AJIRA'' ni nyingi mjini DANJANIA...!MUHESHI.MU.WA'' mmoja aliyekuwa `MGENI RA$IMI'' katika Uzinduzi huo.Watoto wa kike wa masikini wanajiuza tu huku wao watoto wao wa kike wanaenda kuwasomesha shule nzuri wanawapa mitaji ya nguvu, hapo sijawagusa watoto wa kiume ambao ndio wameachwa km Yatima hawana wa kuwasemea Jeska Msamatavangu siku ile alipokua anapaza sauti Bungeni wengi walimuona km fala fulani vile ila alikua na pointAiza``Tumeazimia''
kila mwanainchi,
`APEWE VYOMBO'' kwa`MKOPO''
atembeze ajipatie `NGUNA'' lake la kila siku kwa kujiajiri, kwaniFUR$A'' za`AJIRA'' ni nyingi mjini DANJANIA...!
alisikika `MUHESHI.MU.WA'' mmoja aliyekuwa`MGENI RA$IMI'' katika Uzinduzi huo.