Hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?

Hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?

Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
Mkuu ajira hamna kabisa. Mwenyew unaona za wachoma Chipsi na mishkaki hazipo
 
Hizi sio kazi huwa tunaita mihangaiko na degree yangu barafu naweza kutembeza Ila zingine . Haswa hiyo ya mwisho hapana mkuu 🙌
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
 
Haliwezi mkuu hizo kazi watu watazifanya tu kwa frustration na depression kuganga njaa. Imagine muda na fedha mtu aliyotumia kupata hiyo degree yake, si bora tu angeanza mapema.
Shida inakuja unakuwa kama ulipita njia ndefu sana wakati ungeweza kuanza kuuza kahawa mapema.
Maisha yanahitaji ujanja, ni sawa na kijana wa lasaba kwenda kusomea urubani, huku wewe ukisubiria umalize chuo ndio ukasomee.
 
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
Wap huko
 
Yeah umeongea vyema ingawa mambo haya huwa watu wanachelewa kuyajua kwa maana hadi unamaliza unakua na matumaini ya kuajiriwa ili ukatumike kwenye kile ulichosomea.

But wakishaingia mtaani basi maisha yanawapa left and right na kuwafanya waanze kujiongeza kinamna nyingine while muda tayari umeshapotea sana so unakuta Kila jambo analolikabili mtu huyu anakua analikabili kwa kupanic coz anajiona tayari ameshapiteza.

Inshort graduates nalo ni kundi lingine la watu ambao wanaongoza sana kuwa na msongo wa mawazo unaosababishwa na mambo haya ya maisha baada ya kupigwa left and right na mambo kwenda kinyume na matarajio.
Changamoto ni mfumo wa elimu na malezi, wengi tunasoma ili kufaulu mitihani; ila kiuhalisia ni wachache elimu zinawasaidia katika kukabiliana na mazingira.
 
Umenichekesha mkuu kuna mwanangu juzi ananiambia kuna shule imefunguliwa mshahara laki moja kwa mwezi masomo mawili kiswahili na history form three na form four 🤣chakula ni uji sanne kwa mwalimu alafu mchana ugali maharage
Ndio kazi zilizobakia, mwambie apige kazi.
 
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
Waambie Wana ccm wenzako!😳
 
Changamoto ni mfumo wa elimu na malezi, wengi tunasoma ili kufaulu mitihani; ila kiuhalisia ni wachache elimu zinawasaidia katika kukabiliana na mazingira.
Sure mkuu... Ila huko tunakoelekea nadhani mambo yatakua tofauti kidogo kwa maana madogo wanajua kabisa kwamba wako wengi so wote hawawezi kufit kwenye mfumo wa ajira, wataanza kujiongeza.
 
Mkuu ajira hamna kabisa. Mwenyew unaona za wachoma Chipsi na mishkaki hazipo
Hizi za kutembeza vitu, zipo nyingi; kuna mabeseni na vyombo huku mtaani kwetu wanahitaji wasambazaji.
 
Maisha yanahitaji ujanja, ni sawa na kijana wa lasaba kwenda kusomea urubani, huku wewe ukisubiria umalize chuo ndio ukasomee.
Hiyo shortcut wazazi walikuwa wana fedha mkuu. Kama familia inajiweza kuna shortcut nyingi maishani.
Ulishawahi kusikia wale wahudumu wa sgr kazi zao zinatangazwa?
 
Sure mkuu... Ila huko tunakoelekea nadhani mambo yatakua tofauti kidogo kwa maana madogo wanajua kabisa kwamba wako wengi so wote hawawezi kufit kwenye mfumo wa ajira, wataanza kujiongeza.
Na viwanda vidogo vidogo vyote vitakufa, mchina anakuletea bidhaa nzuri kwa bei ya chini. Kuanzia nguo, samani, vifaa vya ujenzi n.k
 
Back
Top Bottom