Hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?

Hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?

Kumbuka, njaa haina adabu, na kazi ni kipimo cha utu
Daah 😂😂😂, tutakua tumeizalilisha sana elimu yetu... Imagine medical doctor wa Muhimbili pale anaingia zake street anatembeza mayai, iyooo mayaiiiii mayaiiiii iyooooo, huku anapiga yale mabusu ya kuitia wateja 🤣🤣🤣
 
Kama mtu anaenda kusoma aje kutembeza mahindi na kahawa, bora mzazi ungempa hiyo fee aanze mapema baada ya kumaliza form 4 au six tena kwa karo hiyo angeanza kwa kishindo na kijiwe cha maana.
Tatizo hizo kazi, wengi wanazidharau; bila kujua, matokeo ya kazi ni kipato, na kutembeza kahawa kuna kipato pia.
 
Daah 😂😂😂, tutakua tumeizalilisha sana elimu yetu... Imagine medical doctor wa Muhimbili pale anaingia zake street anatembeza mayai, iyooo mayaiiiii mayaiiiii iyooooo, huku anapiga yale mabusu ya kuitia wateja 🤣🤣🤣
Kwa mwenye elimu sahihi, elimu aliyonayo itampa fursa ya kutumia rasilimali zilizopo na kuzigeuza fursa; ila kwa asiye na elimu sahihi atabaki akizunguka na bahasha hapa na pale kutafuta pa kujishikiza.​
 
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
Duh kwa akili hizi kweli ni bora tu mkoloni angeendelea kubaki huku
 
Tukiweka aibu pembeni, tatizo la ajira litaisha
Haliwezi mkuu hizo kazi watu watazifanya tu kwa frustration na depression kuganga njaa. Imagine muda na fedha mtu aliyotumia kupata hiyo degree yake, si bora tu angeanza mapema.
Shida inakuja unakuwa kama ulipita njia ndefu sana wakati ungeweza kuanza kuuza kahawa mapema.
 
Kwa mwenye elimu sahihi, elimu aliyonayo itampa fursa ya kutumia rasilimali zilizopo na kuzigeuza fursa; ila kwa asiye na elimu sahihi atabaki akizunguka na bahasha hapa na pale kutafuta pa kujishikiza.​
Yeah umeongea vyema ingawa mambo haya huwa watu wanachelewa kuyajua kwa maana hadi unamaliza unakua na matumaini ya kuajiriwa ili ukatumike kwenye kile ulichosomea.

But wakishaingia mtaani basi maisha yanawapa left and right na kuwafanya waanze kujiongeza kinamna nyingine while muda tayari umeshapotea sana so unakuta Kila jambo analolikabili mtu huyu anakua analikabili kwa kupanic coz anajiona tayari ameshapiteza.

Inshort graduates nalo ni kundi lingine la watu ambao wanaongoza sana kuwa na msongo wa mawazo unaosababishwa na mambo haya ya maisha baada ya kupigwa left and right na mambo kwenda kinyume na matarajio.
 
Umenichekesha mkuu kuna mwanangu juzi ananiambia kuna shule imefunguliwa mshahara laki moja kwa mwezi masomo mawili kiswahili na history form three na form four 🤣chakula ni uji sanne kwa mwalimu alafu mchana ugali maharage
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?​

Wanahitajika:-
  • Wachoma mahindi nafasi 2000​
  • Watembeza kahawa maeneo ya stendi nafasi 1000​
  • Watembeza mayai mchemsho nafasi 500​
  • Watembeza karanga zakukaangwa nafasi 1000​
  • Watembeza barafu nafasi 500​
  • Watembeza mboga mboga nafasi 500​
 
Hizo hazina mafao wala makato yoyote ya kumnufaisha mhusika. Kazi ngumu ila hazimudu hata gharama ya bima
 
Back
Top Bottom