Hawa wanaume hatujawajulia tu

Mna ka kauli kenu
Hivi hujui kama nimetoka kwa kazi?
Bado kulialia,hivi unanipenda kweli😭😭😭 kwanini utanguliza sana ngonoπŸ€£πŸ™Œ utafikiri kaliolewa kulalalalaπŸ™„
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Bado kulialia,hivi unanipenda kweli😭😭😭 kwanini utanguliza sana ngonoπŸ€£πŸ™Œ utafikiri kaliolewa kulalalalaπŸ™„
Vijana wa leo wana kazi

Mdada anafikiri kaolewa kuja kupamba nyumba kama maua ya ndizi

Angejua ingekuwa pambo watu wako tayari kuchonga vinyago vya dodoma.


Kaolewa kwa kazi mbili tuu
1. Ngono
2. Kuzaa japo hili ni majaliwa
 
Vijana wa leo wana kazi

Mdada anafikiri kaolewa kuja kupamba nyumba kama maua ya ndizi

Angejua ingekuwa pambo watu wako tayari kuchonga vinyago vya dodoma.


Kaolewa kwa kazi mbili tuu
1. Ngono
2. Kuzaa japo hili ni majaliwa
Basss....mengine swagz tu
 
Mnhh!!! Hii imekaaje mkuu
Kuna wanaume wanapitia vipindi vigumu saana

Ndani kuna chupi nzuri nzuri anaziona madazeni kwa madazeni lakini hajawahi iona imevaliwa anaziona zikiwa zimefuliwa

Note.
Enzi zetu hakukuwa na raha kama kumvua mkeo chupi hafu ukakita ni kazuri.
Kwa hasira unakararua rarua aseee


Siku hizi nyumbani ndio utakuta kavaa vile vilivyofubas na kutoboka kati kati

Kulikuwa na katabia mkeo akitaka kukuita basi mkiwa wawili atafanya kilawezalo akae vibaya ukaone ka chupi kake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…