Hawa wanaume hatujawajulia tu

Itashindikana kama mwanaume habebeki
Kosa ni kutaka kumbeba mtu ambae anaweza kujibeba!..

Wanawake unaozungumzia hapo ndo hawa wanakazi wanarudi wamechoka ataubinua sangapi..?
Anahasira za kufokewa na boss wake huko bado kikoba anadaiwa!.
Na vile mnavichwa vidogo kuhandle situation Kama hizo ni kazi kila mara mwajikuta mnahasira coz hamjui namna ya kuhandle hisia zenu!..
Ukimwambia binua binu ye anabinuka Kama ngamia ukimrekebisha anakuja juu..😂
 
unasiti yako pale Kremlin ukae pamoja na Putin[emoji817]
 
Unatudanganya hiyo popote wakati wowote siyo salama!

Mimi nina kovu la pasi bega la kulia panapounganika na mgongo nililipata way back 2006 haya mambo ya wakati wowote popote ilinikuta nanyoosha nguo kitandani demu wangu khanga ikamdondoka ktk zile kukuru kakara nikasahau kusogeza pasi nikaungua,andaeni mazingira kwanza!
 
🤣🤣🤣🤣🤣Yaan kenzy akili Yako....daaah 🙌
 
🤣🤣🤣Aisee...daa
 
Wamekusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…