Usicheke mkuu. Huo ndiyo ukweli, hata Mimi nimewaza hivyo.[emoji1787]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usicheke mkuu. Huo ndiyo ukweli, hata Mimi nimewaza hivyo.[emoji1787]
Niliyekuwa nae tulikuwa tunaonana Kwa mwaka mara mbili,mwez wa 6 na 12 ...so nilichokiandika ndiyo ninachokitakaUnaye tayari? Unatenda?
Usiwe kungwi asiyetenda japo hasa hiyo ndiyo misingi ya ndoa. "Msinyimane......" Umeasa vema sana.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahaa.. Hapana, huyu hatupiwi mtoni akaliwe na mamba, kupata kama hawa wenye ulimi mzuri ni wachache saana, huyu ni hivi hivi mnamchemshia maji ya vuguvugu anakoga, atatoka kwenye 90% ya sasa.Kwahiyo huyo uliyenae tunamtupia mto gani wenye mamba?😉
Hahahaaa...huyu mleta mada ni mwanamke!?Nakuonaga katili kumbe wife material kabisa
Kuna kitu hujakijua kutoka Kwa mwanaume. Mwanaume ni mtu wa logic,mara nyingi hutumia logic na mara chache hutumia hisia kinyume na mwanamkeExactly,kwa hiyo hayo uliyoandika yafanyike hayasaidii kitu... kama sio wako hata utoe figo kwa ajili yake hawezi kubaki
Kama mmependana mtaishi kama binadamu wa kawaida,haitakiwi kuwepo upande mmoja unaofanya jitihada nyiiiingi ili mahusiano yenu yadumu
Kumridhisha binadamu ni ngumu
Safi sana. Hawa ndio wanawake tunaotaka kuoa sasa.Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.
NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah!🤨
Hayo yatajulikana mbele ya safari, mie nataka hizi za popote unainama naweka mali.. Sina hili wala lile umekamata ukuni unautja mdomoni 😋U will regret aisee 🤣
walifanya kazi na mwisho waliziacha!Fanyeni kazi vijana,