Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Lakini hushangai wanaume wanaochukua malaya wale wa kujiuza waziwazi kila siku anabadili. Hujajiuliza anashare na wangapi?
Mke wa barnaba si Raya the boss, anafahamika.mkuu unamjua mke wa prof Jay, Nikki wa pili, FA, Barnaba je au Mr blue??? turudi kwenye comment yako tuache kwanza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wema Sepetu tangu enzi za magazeti ya shigongo ,enzi za tv na sasa mitandao na smartphones ,maceleb aliotembea nao wanafika hata 20 achana na wale wasiojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si waliachana hapo kati, kabla ruge hajafa.Billnass alijua fika kuwa Nandy anatoka na ruge ila bado aliweza kuvumilia mpaka ruge amekufa akamuoa Nandy.
kama ruge asingekufa Billnass asingemuoa Nandy
Hawakuachana bhn nandy alikua akitoka nao wote wawili kwa pmj🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si waliachana hapo kati, kabla ruge hajafa.
Wema anakuwa miss Tz dogo yupo la 5C pengine anamchukulia na sheria mkononi wakati huo, dunia duara hii.Kuna yule mkosa akili anamla Wema Sepetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbona ilikua hatariiiHawakuachana bhn nandy alikua akitoka nao wote wawili kwa pmj[emoji1787][emoji1787]
Km Uwoya na dogo janjaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wema anakuwa miss Tz dogo yupo la 5C pengine anamchukulia na sheria mkononi wakati huo, dunia duara hii.
Tofautisha hisia na nyege + ushambasiku mtakayojua mapenzi ni hisia basi hamtajiukiza mambo mengi.... wakishea haipunguzi kitu kwenye maisha yako labda kama hujielewi ndio mambo yatakutatiza maana hata wao wanajua ila ndio washapenda
hilo nalo neno la msingiLakini hushangai wanaume wanaochukua malaya wale wa kujiuza waziwazi kila siku anabadili. Hujajiuliza anashare na wangapi?
Duuu. Sasa Billnass inakuwaje au mkewe ni mzima wanamsingiziaHawakuachana bhn nandy alikua akitoka nao wote wawili kwa pmj🤣🤣
Duuu. Sasa Billnass inakuwaje au mkewe ni mzima wanamsingizia