Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi Mbezi kwa Magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee, huyu mjknga huyu daa!

Pesa ni za wife za mauzo ya leo dukani kwake pale Bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu Geita haupo

😩😩😩😩😩😩
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
Pole aisee, maana kwenye ili bandiko lako kuna "aisee" kama zote aisee.

Kwahiyo umechukua hatua gani aisee?
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
images (8).jpeg
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
Wewe ni Bilionaire kekeman bhana acha kelele vipesa vidogo sana jivyo
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
Sasa mbezi kwa Magufuli kuna uhusiano gani na duka la mke wako lililoko bamaga na kutofunga mlango wa gari na Nissan juke namba E na mgodi wa dhahabu geita! Hii chai
 
Back
Top Bottom