Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Chai😀😀 umeharibu uliposema mgodi
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.

Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa

Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.

Kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo

😩😩😩😩😩😩
Hongera kwa kununua gari jopya na mgodi. Pia, hongera kwa kuanzisha biashara kubwa kwa ajili ya wife yenye mauzo ya siku ya kiasi cha milioni kumi.

Bila kusahau, hongera kwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Ova
 
Ni kweli lakini inatakiwa tuwasaidie Kuna siku nilikua na gari yangu Mercedes-Benz Maybach exelero ya rangi nyekundu yenyewe niliisajili kwa jina langu, nyuma ya gari niliweka briefcase ilikua na dollar 10k kama Tsh million 25 hivi kwaajili ya mtumizi madogo madogo ya siku kuwekea mafuta na shopping ndogo ndogo.

nikakuta dogo mmoja kakamatwa kaiba kuku wanataka wamchome moto ila walivyoona gari yangu wakaacha zoezi la kutaka kumchoma wakawa wanaishangaa maana kwa Tz sijawahi kuona kama kuna mtu mwingine anayo gari kama hii labda kwakua sikai sana nchini.

Ikabidi nimuombee mwizi msamaha walioibiwa kuku nikawapa $ 2000/= kama Tsh million 5 ili wamsamehe nikamchukua mwizi nikampa ile dollar 8,000/= iliyobaki ambayo ni kama Tsh million 20 nikamuomba apokee hiyo hela japo ni kidogo lakini akaoge na kununua nguo za kubadilisha alaf anitafute nimpe hela nyingine kidogo ya mtaji afungue biashara ndogo ndogo ila cha ajabu hajanitafuta tena
[emoji119][emoji119]Au sio, tupange
 
Ama kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi Mbezi kwa Magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee, huyu mjknga huyu daa!

Pesa ni za wife za mauzo ya leo dukani kwake pale Bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu Geita haupo

😩😩😩😩😩😩
🤣🤣🤣 we fara sn,,, juke n mgodi wa geita wap n wap?
 
Back
Top Bottom