Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExtrovertAma kweli hawa wezi wanapaswa kuuawa aisee sio.poa yaani hawa washenzi wanarudishana nyuma kabisa yaani milioni 10 imeenda hivi hivi pale stendi ya mabasi mbezi kwa magufuli yaani hapa kichwa kinauma sio poa kabisa wazee.huyu mjknga huyu daa
Pesa ni za.wife za.mauzo ya leo.dukani kwake pale bamaga sasa nilipaki gari nikaenda kupata futari sasa kosa langu mimi sikufunga mlango aisee niliuegesha tu aisee kumbe kuna wahuni wananisoma tu aisee baada ya kumaliza.kupata futari kurudi kwwnye ndinga yangu nissan juke number E nakuta mlango umefungwa kama nilivyoacha lakini kuangalia ndani milioni 10 haipo,busainess card zangu hazipo na document za makabidhiano ya kununua mgodi wangu wa dhahabu geita haupo
😩😩😩😩😩😩
mtoto choqo kweli huyu
Zuma revengemtoto choqo kweli huyu
Kabobo hii hamna kila kitu....Milioni kumi unaenda kula futari gengeni kweli ukuota hotel.
Fanya kama umetoa sadaka vile ili upooze maumivu
Ame kopy huyu ilishatungwa ya hiviHii stori mbona kama niliwahi kuisoma humu zamani
sikufunga mlango aisee
niliuegesha tu aisee
wahuni wananisoma tu aisee