Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Extrovert
 
Milioni kumi unaenda kula futari gengeni kweli ukuota hotel.
Fanya kama umetoa sadaka vile ili upooze maumivu
 


Nilikuwa najiuliza mbona kama nimewahi kuuona uzi kama huu?! Kumbe ni yuleyule mzee wa kamba
 
Hata Mimi ningepiga hicho kibunda ya million 10 harafu hufungi mlango
 
Kidogo niamini lakini uliposema unaenda kununua mgodi geita nikagundua chai ya rangi
 
Una milioni kumi kwenye gari, then unaacha mlango wazi ili uende kula maeneo ya stand ya mbezi? Mpaka hapo upelelezi imekamilika ya kua taarifa ni ya uongo.
 
 
Hivi ukisema uongo unapata faida gani humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…