Hawa wezi wauawe tu aisee, nimeibiwa milioni 10 kwenye gari langu(nissan juke)

Chai๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ umeharibu uliposema mgodi
 
Hongera kwa kununua gari jopya na mgodi. Pia, hongera kwa kuanzisha biashara kubwa kwa ajili ya wife yenye mauzo ya siku ya kiasi cha milioni kumi.

Bila kusahau, hongera kwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Ova
 
[emoji119][emoji119]Au sio, tupange
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ we fara sn,,, juke n mgodi wa geita wap n wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ