Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,439
- 1,962
Diamond alitambulishwa na wimbo wa Nenda Kamwambie na baadae Mbagala kwahiyo si kweli hata kidogo kusema kwamba NItarejea ndio ulimtoa! Nenda Kamwambie ilitoka mwaka 2009 na huo wimbo ulimpatia tuzo tatu za Kilimanjaro na kuwa msanii wa kwanza kuzoa tuzo nyingi kwa wakati mmoja ambapo alichukua tuzo ya Best Upcoming Artist, Wimbo Bora wa R & B pamoja na Wimbo Bora wa Mwaka!
Fanya utafiti kidogo tu uulize watu kumi wangapi wanaujua nenda kamwambie na wangapi wanaujua nitarejea ndio uje kucomment hapa. Halafu hiyo si hoja ya msingi. Hoja ni Diamond ku-consider contribution ya huyu Hawa. Unfortunately both of us hatujui mkataba wake na huyu Hawa ila inavyoonekana alimlipa peanut. Hivyo hoja ni kuwa afanye consideration ya kum-boost kama anavyowafadhili watu wengine ambao huenda hawana mchango wowote kwenye muziki wake bali ni kurudisha part ya income yake kwa jamii basi mwanajamii mmiojawapo ni Hawa ambaye angalau kuna hata justification.