Hawa: Wimbo wa 'Nitarejea' wa Diamond nauchukia sana, Umeniharibia maisha yangu


Fanya utafiti kidogo tu uulize watu kumi wangapi wanaujua nenda kamwambie na wangapi wanaujua nitarejea ndio uje kucomment hapa. Halafu hiyo si hoja ya msingi. Hoja ni Diamond ku-consider contribution ya huyu Hawa. Unfortunately both of us hatujui mkataba wake na huyu Hawa ila inavyoonekana alimlipa peanut. Hivyo hoja ni kuwa afanye consideration ya kum-boost kama anavyowafadhili watu wengine ambao huenda hawana mchango wowote kwenye muziki wake bali ni kurudisha part ya income yake kwa jamii basi mwanajamii mmiojawapo ni Hawa ambaye angalau kuna hata justification.
 
Huyu dada inabidi apate watu wa kumshauri kuhusu masuala ya mikataba. Mikataba haina mambo ya kujuana ni mnalipana kwa mujibu wa mkataba na mabo yanaishia hapo. Suala la yeye kuwa na maisha ya dhiki si majukumu ya Diamond. Hapa angeleta kesi kwamba Diamond kaenda kinyume na mkataba wao hapo angeeleweka, lakini kama hakuna kipengele chochote cha mkataba kilichovunjwa basi ajilaumu mwenyewe kwa kushindwa kuendeleza kipaji chake.
 
nyimbo zilizomtoa diamond ni kwamwambie na mbagala, sio nitarejea. Anyway Diamond hujafanya fair kutompa chochote hata kama hakukuwa na mkataba, ni ubinadam tu. Nawewe Hawa hicho hakiwez kuwa kigezo cha kufail maisha, tafuta kingine
 

Nonsense.... 😱😱😯
 
Hebu wadau tupieni picha yake tumuone muonekano wake wa sasa.Simpatii picha kama mnasema kwasasa kachoka atakuwa anaonekanaje maana wakati hajachoka tu wakati wa video ya wimbo huo alikuwa anaonekana kachoka mbaya
 
asimlaumu mtu hapo kwani diamond ndiye aliyemtia mimba na kumkimbia?...ajipange kufanya collabo siyo iwe kigezo cha kumpa mtu lawama kuwa hakusaidii.
 
Dimondi mlipe dada hawa mkwanja wake,ungemlipa hela hiyo asingebabaika na wanaume mpaka wamempa mimba,mlipe fedha zake za kolabo,ni kama Nelly na Kelly Dillema ule wimbo wote wanafaidika ila wewe unafaidika peke yako tu.

msaidie muende mahakamani akadai haki yake. humu mitandaoni hata pata kitu.
 
Mlikubaliana nini wakati anakuambia ufanye kazi hiyo?
 
Kumbe walioharibiwa si kina wema tu, ila dango domo rudisha fadhila bwana kabla mungu unaemtumikia hajakukana maana ulishamkataa MUNGU wa Ibrahim
 
Diamond uwe Na hofu ya Mungu on a huruma tu sisemi ni Malipo Bali ni Msaada
 
Khah!!!!!!!!!!! kumbe tangia alivyoenda mjini hajarejea tena kijijini??????????kweli mjini shule
 
Hebu wadau tupieni picha yake tumuone muonekano wake wa sasa.Simpatii picha kama mnasema kwasasa kachoka atakuwa anaonekanaje maana wakati hajachoka tu wakati wa video ya wimbo huo alikuwa anaonekana kachoka mbaya
 
Nahisi mleta mada yupo ile timu ya Tembo...diamond hahusiki kwa lolote hapo kama anamdai aseme maan alipewa chake...sasa kuharibikiwa na maisha vinahusiana nin na wimbo..mwenye akili ataelewa huyo mdada hayupo sawa psychologically .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…