Hawa: Wimbo wa 'Nitarejea' wa Diamond nauchukia sana, Umeniharibia maisha yangu

Hawa: Wimbo wa 'Nitarejea' wa Diamond nauchukia sana, Umeniharibia maisha yangu

Huyu si ndio alizidiwa kete na wema sepetu daimond akahama,ashaliwqa
 
Watanzania tumeshazoea ujamaa kiasi kwamba kusaidiwa unaona ni haki yako ya msingi.

Hapana bana inabidi amtoe dada kafanya kazi nzuri sana na aliweka uhalisia kwenye shooting kama vile kweli
 
Tuchukulie Diamond akaamua kumlipa hiyo pesa ya colabo sasa itamsaidia nini? Kama siyo kujiongezea unywaji wa pombe ili kupunguza hizo stress zake
 
alikuwa anahojiwa mwaka jana kama sikosei na Abdallah Hamis Ambua mjukuu,mpaka sauti ni ya kiteja halafu anajifanya pombe kali,apeleke mbele stress zake za maisha huko
 
Huyu sie tumeshamzoea mitaa ya kwa Aziz ally. ....mtoto ananyonya viloba balaa yeye na Maunda Zorro..yaani akishalewa watu wanavuta tu kiuraini..halafu mbona unga anavuta kama kawaida.

Maisha kajihalibia mwenyewe kama alikuwa anataka kutoka kimziki mbona halikuwa anaishi na familia ya mziki ya Mzee Zahir Zorro...
Tatizo aliendekeza sana starehe na umaarufu mavi wa uswahilini kutwa kwenye vibar na vigrocery na maisha ya gheto kujidunga heroin.
 
Kipindi hicho Diamond alikua bado anajitolea kwa said fella kutafuta working experience so atulie tu as Diamond nae alikua hana hela.:biggrin:
 
Nahis ndo sababu mondi alimpotezea maan starehe na pombe kwake haram.
 
Mm ni napenda kazi anazo fanya diamond na kila kitu kuhusu mzk wake lakini kwa hili hapa diamond amkumbuke huyo Hawa! Hayo malalamiko hayajaanza leo toka kipindi kile diamond ameenda "zizu fashion" kununua nguo na ana mkuta hawa akiwa anauza nguo huku akiimba,siku ya pili tena diamond anarudi anamkuta tena Hawa

ndipo anampenda na kuomba kufanya nae kazi Hawa bila hiyana anakubali na kufanya nae wimbo wa nitarejea wakaenda mbali zaidi wakaingia kwenye mauhusiano( kipindi kile haikuvuma coz diamond alikuwa bado hajawa diamond wa sahizi) ndipo diamond anafanya nae ngono huyu dada

,wakawa na show sikumbuki ni show gani kama sio kil.awards bas BSS kwenye mazoezi diamond alikuwa hata hampi nauli huyo dada ya kufikia mazoezini kila kitu Hawa alifanya kwa gharama zake katika maandalizi yote ya show kwenda na kurudi! Wakafanya bonge moja la show lakini Hawa hakuambulia hata sent ya malipo ya show! Ikawa kama kafanya bure hivi sijui kwann diamond alimfanyia hivyo sijui kwa vile dada alikuwa underground bado sijajua....

ikafika kpindi diamond akamuacha Hawa kimapenzi na kimziki na sahizi venyewe yupo na Zari sijui kama atakua ana mkumbuka Hawa lakini diamond kwa hili akumbuke aliko toka amkumbuke hawa tuache unafiki basi hata bila hvyo amlipe kwa kazi walio fanya hata kama ni elfu hamsini maana hawa hajaambulia chochote zaidi ya kuwa nae kimahusiano!

Mhuuu...I ddnt know this!
 
Mm ni napenda kazi anazo fanya diamond na kila kitu kuhusu mzk wake lakini kwa hili hapa diamond amkumbuke huyo Hawa! Hayo malalamiko hayajaanza leo toka kipindi kile diamond ameenda "zizu fashion" kununua nguo na ana mkuta hawa akiwa anauza nguo huku akiimba,siku ya pili tena diamond anarudi anamkuta tena Hawa

ndipo anampenda na kuomba kufanya nae kazi Hawa bila hiyana anakubali na kufanya nae wimbo wa nitarejea wakaenda mbali zaidi wakaingia kwenye mauhusiano( kipindi kile haikuvuma coz diamond alikuwa bado hajawa diamond wa sahizi) ndipo diamond anafanya nae ngono huyu dada

,wakawa na show sikumbuki ni show gani kama sio kil.awards bas BSS kwenye mazoezi diamond alikuwa hata hampi nauli huyo dada ya kufikia mazoezini kila kitu Hawa alifanya kwa gharama zake katika maandalizi yote ya show kwenda na kurudi! Wakafanya bonge moja la show lakini Hawa hakuambulia hata sent ya malipo ya show! Ikawa kama kafanya bure hivi sijui kwann diamond alimfanyia hivyo sijui kwa vile dada alikuwa underground bado sijajua....

ikafika kpindi diamond akamuacha Hawa kimapenzi na kimziki na sahizi venyewe yupo na Zari sijui kama atakua ana mkumbuka Hawa lakini diamond kwa hili akumbuke aliko toka amkumbuke hawa tuache unafiki basi hata bila hvyo amlipe kwa kazi walio fanya hata kama ni elfu hamsini maana hawa hajaambulia chochote zaidi ya kuwa nae kimahusiano!

Maelezo ya mtu mwenye fake I'd siwezi kuyaamini.na isitoshe hayana source.source from fake I'd hapana
 
huyu dem kweli alishatoka na mondi alielezea enzi hzo mond sio super star Hawa anaenda kujiuza alafu anamletea jamaa mkwanja sikumbuki vizuri na jina la bar alilitaja. Akasema alishawahi kukaa home kwa kina mondi. Alihojiwa mwaka jana nadhani.

Source Xxl ya cloudz.
Ila inaonesha huyu dem huwa anapewa hela na mshkaji sema labda ndio huo uteja jamaa akampotezea.
 
hawa.jpg


Unakumbuka Video ya Nitarejea ya Diamond? Basi yule msichana aliyeshirikiana naye katika huo wimbo hali yake si nzuri kisanii na kimaslahi pia kiasa cha kusema kuwa anauchukia huo wimbo kwani ndo umemuharibia Maisha
Hawa akihojiwa na Mlimani TV amefunguka na kusema kuwa Pamoja na Wimbo huo kuwa ndio uliomtoa Diamond Kimuziki lakini Diamond hakuwahi kumpa Hata Shiling 10 , Japo ameshawahi kumfuata na kumuomba msaada wakati tofauti tofauti lakini haikuwezekana kupata huo msaada ....Hawa amesema alitegemea nae angetoka lakini ameishia kuwa na maisha ya Dhiki huku mwenzake akitengeneza Hela za Maana ..

Alipoulizwa Kuhusu tuhuma za kutumia Madawa ya Kulevya baada ya kuona mambo hayaendi vizuri Hawa amesema hakuwahi kutumia Madawa ya Kulevya bali alijiingiza katika unywaji wa pombe sana baada ya Mwanaume aliyempa Mimba Kumkimbia hivyo alianza matumizi ya pombe kupunguza Mawazo ..

Hawa anasema Hamchukii Diamond ila Anapenda kumwambia akumbuke alipotoka na Arejee Nyumbani....

Huyu Hawa mm namjua kabla hata hiyo video, anahitaji msaada kiukweli, alitegemea atapata pedeshee baada ya kuuza sura ktk hiyo video bila mtonyo, dah!
 
Kwa hili kweli dmond kakosea sana.hata kama walikosana angemsaidia hata kidogo kwani dmond yy ashakuwa na uwezo mkubwa.angejitahidi kukumbuka alikotoka.
 
Back
Top Bottom