Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Sana tu… issue inakuja unamwita kimaha anakwita “my” [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ama Mumy [emoji15][emoji15]

Sasa imagine uisome kama ilivoandikwaa
Anakutimizia pesa?ya kitandani?😅 et mumy
 
Wasikudanganye,

Wote tupo ivo ivo, bora uyo alijitahidi miezi mitatu.

Amna siamini

Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling

Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa

Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom