Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hata wanaume huingia kwenye mahusiano ili wale mbususa so kila mtu na lengo lake la mahusiano[emoji41]
Haya mengine ya kuitw baby n the like ni kwa sababu hakupi pesa, ungepewa pesa sidhani kama mambo ya baby na sweetheart yangekuwa na nafasi.

Acheni vijana watafute pesa, wakija kuwaoa watawahudumia, kwa sasa huduma mpate kwa wazazi wenu au ajira zenu.
 
Sasa kama mtu hakushirikishi mambo yake unaweza kuweka ushauri gani nianze tu kutoa ushauri bila kujua mwenzangu mambo anayoyafanya si nitaonekana nina kiherehere

Na kuhusu kumpendaa kweli mwanzo nilimpendea hela na unajua sie wadada mapenzi huja baadae so for the first nilipenda hela

But finally nampenda yeye ukitoa hizo hela maana nikisema nampenda kwa hela basi ningekuwa nishamuacha kwasababu hanipi pesa…. Ila nilishaacha kupenda pesa yake kwasababu ukitoa hiyo kasoro ya kutokuwa romantic na kutokunihudumia yupo vizuri hajawai nitukana kunipiga kunisema vibaya zaidi zaidi huwa ananishauri mambo ya maendeleo yangu

So ha deserve kupendewa hela ni mtu smart tu
Mdogo wangu alianza mshirikisha mke wake mambo yake baada ya kumuoa, kabla ya hapo yule Dada alikua hashirikishwi chochote...dogo alinunua viwanja na kujenga bila binti kufahamu...now binti kila hatua anashirikishwa.
 
Kwaiyo akinitafuta saivi nimwambiaje… mimi ananikeraa siku mashetani yake yakimpanda utasikia “mumy unajua nakupenda weww ndo mke wangu lazima nikuoe” najiulizaga huko aliko anakuwaga amelewa ama [emoji19][emoji19]

Kiukweli anacheza na hisia zangu humuelewi akisema kweli ama uongo ana kera sana [emoji41][emoji41]
Kama unaweza wewe mchunie yeye awe anakutafuta na hata akikutafuta usimlalamikie kuwa mbona ulikuwa kimya sana ...piga stori za kawaida usiulize mambo yake biashara inaendaje wala familia yake acha akwambie mwenyewe. Pia usimlilie shida zako hata kama huna pesa komaa tu lazima atachanganyikiwa na kukuonea wivu kuwa umebadilika ghafla na atakutafuta mara kwa mara na kila kitu kitakaa sawa . Kikubwa jipende tu kuwa bize na mambo yako
BAADA YA HAPO UJE KUTOA MREJESHO.
 
Kama unaweza wewe mchunie yeye awe anakutafuta na hata akikutafuta usimlalamikie kuwa mbona ulikuwa kimya sana ...piga stori za kawaida usiulize mambo yake biashara inaendaje wala familia yake acha akwambie mwenyewe. Pia usimlilie shida zako hata kama huna pesa komaa tu lazima atachanganyikiwa na kukuonea wivu kuwa umebadilika ghafla na atakutafuta mara kwa mara na kila kitu kitakaa sawa . Kikubwa jipende tu kuwa bize na mambo yako
BAADA YA HAPO UJE KUTOA MREJESHO.

Sawa ngoja nitumie njia yako
 
Amna siamini

Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling

Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa

Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
Nyie wanawake mbona mtatukondesha sana, kila saa tu niwe nasema Nakupenda, inakuwa kama adhabu sasa!
 
[emoji2][emoji2]sijasema ni ndogo ila sasa mpk mtakapo onana maybe after 4 month ama 3

Sasa mimi ninapokuwa nina shida ukimuomba asemi sikupi anasema anakupa ila hatoiii

Hata vocha hajawahi nitumia mpk nimeachaa tena Kumuombaa
Hamna mtu hapo dada kimbia zako hizo sio dalili nzuri mtu bahili hivyo wa kazi gani[emoji24]
 
Amna siamini

Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling

Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa

Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
😀😀😀😀 Bora hapo alisema asante sana kuna mwingne unamwambia nakupenda anasema wacha wee yanini mapenzi sasa [emoji4]
 
Mkuu bora jamaa Kakimbia mwenyewe[emoji23] sasa hivi tafuta aliye romantic [emoji8]
 
Back
Top Bottom