Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

[emoji23][emoji23] kwani kutafutana ni lazima jmn… sijamzimikia kihivyo kwamba asiponitafuta nitaumwa na Nilivyo mgumu huwaga situmi hata ka sms cha uko poa nasubiri mpk atume yeye na asipotuma mbona tunamaliza mwezi hatuongei… kiufupi Kama nimetuma sms moja hajajibu huwa siongezi ya pili hata amalize mwaka hajajibu

Ni bora nianzishe uzi Jf kuliko kujitumisha sms Kama mbwai na iwe mbwai nitakufa na utamu wangu [emoji23][emoji23]
Dhambi kubwa sana hii kufa na utamu wakati viumbe wengine tupo,
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️Niko PM
 
Huyo mkaka hakupendi asikudanganye kuwa kuna mambo yanamsumbua kichwani kuwa makini pia usiweke expectation kubwa kwake...MTU ANAYE KUPENDA ATAKUPA MUDA WAKE HATA DAKIKA 5

Kwaiyo akinitafuta saivi nimwambiaje… mimi ananikeraa siku mashetani yake yakimpanda utasikia “mumy unajua nakupenda weww ndo mke wangu lazima nikuoe” najiulizaga huko aliko anakuwaga amelewa ama [emoji19][emoji19]

Kiukweli anacheza na hisia zangu humuelewi akisema kweli ama uongo ana kera sana [emoji41][emoji41]
 
Dhambi kubwa sana hii kufa na utamu wakati viumbe wengine tupo,
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]Niko PM

Niliambiwaga kujipendekeza kunashusha brand… uzuri akionaga nipo kimya lazima anitafute aanze kujiliza kama chawiii [emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
[emoji23][emoji23] kwani kutafutana ni lazima jmn… sijamzimikia kihivyo kwamba asiponitafuta nitaumwa na Nilivyo mgumu huwaga situmi hata ka sms cha uko poa nasubiri mpk atume yeye na asipotuma mbona tunamaliza mwezi hatuongei… kiufupi Kama nimetuma sms moja hajajibu huwa siongezi ya pili hata amalize mwaka hajajibu

Ni bora nianzishe uzi Jf kuliko kujitumisha sms Kama mbwai na iwe mbwai nitakufa na utamu wangu [emoji23][emoji23]
Imeisha hiyo same here, mimi hata mtu nimpende vipi nimtumie text asijibu au missed call asi call back basi ndo imeisha hiyo.. Bora iwe ego lakini kwangu kubalance shobo ndo silaha yangu namba 1.

Cz always ukimcheki mtu tena uwe 1st, ana take advantage, anakuona kama wewe ndo una shida sana.
IMG_20221007_082201.jpg
 
Imeisha hiyo same here, mimi hata mtu nimpende vipi nimtumie text asijibu au missed call asi call back basi ndo imeisha hiyo.. Bora iwe ego lakini kwangu kubalance shobo ndo silaha yangu namba 1.

Cz always ukimcheki mtu tena uwe 1st, ana take advantage, anakuona kama wewe ndo una shida sana.View attachment 2380287

[emoji23][emoji23][emoji23]duuuh umenifurahishaaa…

Mkuu mimi huwa naumia ndani kwa ndani tu na ikipita wiki hujanitafuta aiumii tena naweza kukaa hata mwezi na ukituma tena sms sikujibu mpk nijisikie

Kiufupi huyu jamaa Ana kiburi cha uzima sijui anaona mie nampenda sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]duuuh umenifurahishaaa…

Mkuu mimi huwa naumia ndani kwa ndani tu na ikipita wiki hujanitafuta aiumii tena naweza kukaa hata mwezi na ukituma tena sms sikujibu mpk nijisikie

Kiufupi huyu jamaa Ana kiburi cha uzima sijui anaona mie nampenda sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wazungu wanasema (No one is busy is just a matter of priorities) ok hata kama mtu aseme yupo bize sana ila kama anakupenda lazima tu atatenga muda wa kukucheki hiyo ni lazima. Lakini mwezi mzima mtu anasema yupo bize wewe ndio unafanya kazi ya kumtafuta, na ukimtafuta anakujibu means alikua na uwezo wa kukutafuta pia.. Ukiona hivo ujue upendo haupo hapo.
 
Nimekuwa na mahusiano na kijana kwa mwaka 1 na miezi 10 ila sijawahi kupata yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba, ile miezi 3 ya mwanzo.

Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.

Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.

Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata stori.

Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambaye ana mahaba na mimi nifurahie.

Mpaka nimekumbuka Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata kama ananidanganya.

Naombeni majibu-
  1. Ni tabia ya wanaume wa Kichaga?
  2. Ni Tabia ya mtu binafsi?
  3. Hanipendi?
Njoo pm, mimi nahitaji mwanamke aliye serious
 
Wazungu wanasema (No one is busy is just a matter of priorities) ok hata kama mtu aseme yupo bize sana ila kama anakupenda lazima tu atatenga muda wa kukucheki hiyo ni lazima. Lakini mwezi mzima mtu anasema yupo bize wewe ndio unafanya kazi ya kumtafuta, na ukimtafuta anakujibu means alikua na uwezo wa kukutafuta pia.. Ukiona hivo ujue upendo haupo hapo.

Ngoja niendelee kujifukiza
 
Wazungu wanasema (No one is busy is just a matter of priorities) ok hata kama mtu aseme yupo bize sana ila kama anakupenda lazima tu atatenga muda wa kukucheki hiyo ni lazima. Lakini mwezi mzima mtu anasema yupo bize wewe ndio unafanya kazi ya kumtafuta, na ukimtafuta anakujibu means alikua na uwezo wa kukutafuta pia.. Ukiona hivo ujue upendo haupo hapo.

Kwakweli
 
[emoji2][emoji2]sijasema ni ndogo ila sasa mpk mtakapo onana maybe after 4 month ama 3

Sasa mimi ninapokuwa nina shida ukimuomba asemi sikupi anasema anakupa ila hatoiii

Hata vocha hajawahi nitumia mpk nimeachaa tena Kumuombaa
Hahahaha..
Sa kama unampa mbususu mara moja baada ya miezi 4 au 3 unafikiri upo mwenyewe?!
Tatizo lipo hapo. Umempa nafasi ya kuwekeza hisia kwa mwingine
 
[emoji23][emoji23] nasubiri parapanda llie mda wowote saa yoyote akatokea mtu ninaye muelewa zaidi yake basi habari yake inaishia hapa …. Ngoja nijipe miezi mingine 3 ikiisha hiyo yupo hivihivi mapema sana tunaimba ile nyimbo ya billinas na nandy “bye “
Hakika wewe si wake upo nae kwa sababu binafsi za kwako wewe sio za kimuunganiko, rejea how did you reason ur acceptance in this relationship and what factors played a key role for you to enter this relationship? Are they temporary or permanent factors? Are they joint factors? Was it intrinsically ur own decision?or you accounted external advices to accept him. How procedurally and sorberly did you decide.

"Mutually inclusive or exclusive" Generally, speaking is our pivotal term in Finance.
 
Hahahaha..
Sa kama unampa mbususu mara moja baada ya miezi 4 au 3 unafikiri upo mwenyewe?!
Tatizo lipo hapo. Umempa nafasi ya kuwekeza hisia kwa mwingine

Kwaivo tuache kuwa na wapenzi tukiwa mbali au tuache kazi tukatoe mbususa….

Kama sio muaminifu ni yeye bhn atajua mwenyewe na tabia zake mbaya
 
Hakika wewe si wake upo nae kwa sababu binafsi za kwako wewe sio za kimuunganiko, rejea how did you reason ur acceptance in this relationship and what factors played a key role for you to enter this relationship? Are they temporary or permanent factors? Are they joint factors? Was it intrinsically ur own decision?or you accounted external advices to accept him. How procedurally and sorberly did you decide.

"Mutually inclusive or exclusive" Generally, speaking is our pivotal term in Finance.

Sasa wewe unafikiri kuna mwanamke anaanzisha mahusiano na mwanaume akiwa anampenda wengi tunashawishika na kuvutiwa na kitu alichonacho mwanaume

Kupenda kunajaga baadae na kama tu mwanaume akiweza kumshawishi mwanamke wake..
sasa kama unashindwa kumshawishii kwa njia mbalimbali unafikiri mwanamke atakupendaje

Nilisema kabisa mwanzo sikuwa nikimpenda ndio nilipenda vitu vyakeeee kwasababu hata yeye alinitongoza kwa swaga za pesa…na hii sio kwamba alikuwa ananipa pesa nope alikuwa na mawazo ya kipesa pesa .. unajua namna mnavyotongozana kwa kujisifiaa

And finally nikampenda yeye kama yeye na sio vitu tena

Labda ujue hivi
Hela niliowai kuomba ni vocha tena nilimtega tu wala sikuwa na shida nayo nilikuwa nampima kama ni mtoaji ama bahiri .. Nimeomba kama mara3 hivi nikaona hajigusi nikaacha mpk Leo hii sijawahi omba hela yake zaidi zaidi akisema tuonane nasema sina nauli anatuma ndy hyo tu



Sasa kama sipati mapenzi yale seriously sipewi hela sasa hayo mahusiano ni ya nini?? ….
 
Sasa wewe unafikiri kuna mwanamke anaanzisha mahusiano na mwanaume akiwa anampenda wengi tunashawishika na kuvutiwa na kitu alichonacho mwanaume

Kupenda kunajaga baadae na kama tu mwanaume akiweza kumshawishi mwanamke wake..
sasa kama unashindwa kumshawishii kwa njia mbalimbali unafikiri mwanamke atakupendaje

Nilisema kabisa mwanzo sikuwa nikimpenda ndio nilipenda vitu vyakeeee kwasababu hata yeye alinitongoza kwa swaga za pesa…na hii sio kwamba alikuwa ananipa pesa nope alikuwa na mawazo ya kipesa pesa .. unajua namna mnavyotongozana kwa kujisifiaa

And finally nikampenda yeye kama yeye na sio vitu tena

Labda ujue hivi
Hela niliowai kuomba ni vocha tena nilimtega tu wala sikuwa na shida nayo nilikuwa nampima kama ni mtoaji ama bahiri .. Nimeomba kama mara3 hivi nikaona hajigusi nikaacha mpk Leo hii sijawahi omba hela yake zaidi zaidi akisema tuonane nasema sina nauli anatuma ndy hyo tu



Sasa kama sipati mapenzi yale seriously sipewi hela sasa hayo mahusiano ni ya nini?? ….
Hakika sikufahamu ila kwa huu ujumbe nimekupenda kabisa, naona kitu chema ndani yako, unastaili uwe na mtu aina yangu ambae ni coach, mentor, mwalimu kwenye mahusiano, ambae anakupa uhuru wa kushauri, kukosoa. Ur weakness can be easier to fix. Hata kama sio mimi ukipata mtu ambae utakuwa free kuchati nae sana uko good good
 
Back
Top Bottom