Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Sasa wewe unafikiri kuna mwanamke anaanzisha mahusiano na mwanaume akiwa anampenda wengi tunashawishika na kuvutiwa na kitu alichonacho mwanaume

Kupenda kunajaga baadae na kama tu mwanaume akiweza kumshawishi mwanamke wake..
sasa kama unashindwa kumshawishii kwa njia mbalimbali unafikiri mwanamke atakupendaje

Nilisema kabisa mwanzo sikuwa nikimpenda ndio nilipenda vitu vyakeeee kwasababu hata yeye alinitongoza kwa swaga za pesa…na hii sio kwamba alikuwa ananipa pesa nope alikuwa na mawazo ya kipesa pesa .. unajua namna mnavyotongozana kwa kujisifiaa

And finally nikampenda yeye kama yeye na sio vitu tena

Labda ujue hivi
Hela niliowai kuomba ni vocha tena nilimtega tu wala sikuwa na shida nayo nilikuwa nampima kama ni mtoaji ama bahiri .. Nimeomba kama mara3 hivi nikaona hajigusi nikaacha mpk Leo hii sijawahi omba hela yake zaidi zaidi akisema tuonane nasema sina nauli anatuma ndy hyo tu



Sasa kama sipati mapenzi yale seriously sipewi hela sasa hayo mahusiano ni ya nini?? ….
But not all women wanaanza na pesa ni wale walionja ouvu na utamu wa pesa, those who have had multiple men have demonstrated this. There are men for love, shape, money, handsome, car, richiest, famous, family influence, etc
 
Amna siamini

Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling

Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa

Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
Kuna mapenzi ya kiafrika na mapenzi ya kizungu. Mapenzi ya kiafrika hakuna kubembelezana, hakuna kuitana majina ya mahaba wala hakuna kutaniana na mkienda sehemu mmoja anatangulia mwingine anafuatia baadae. Mkiwa mbele ya watu kabisaa ndiyo hakuna kuonyesha mnapendana na mwanamme anatakiwa awe mkali kwa mwanamke ili asidhaulike. Mkiwa kwenye shehemu mke anatakiwa awahi kurudi nyumbani. Kabla hujashutumu wanaume wa kichaga, tafuta msukuma au mkurwa au mwanamme yoyote wa kanda ya ziwa u-date naye ndiyo utajua kumbe wachaga wanajua mahaba.
 
Kwaivo tuache kuwa na wapenzi tukiwa mbali au tuache kazi tukatoe mbususa….

Kama sio muaminifu ni yeye bhn atajua mwenyewe na tabia zake mbaya
Mwanaume wa kibongo yeye ni kuwaza mbususu tu muda wote. Trust me. Japo mimi ni mwanaume lakini hii kasoro tuliyonayo ndiyo inafanya hata mahusiano mengi yasidumu sasa hivi. Kwake yeye mapenzi ni kutoa mbususu, akiona mwanamke ameona mbususu. Wengi hawajui kuwa sex ni moja ya viunganishi vingi tu mapenzi.
 
Hakika sikufahamu ila kwa huu ujumbe nimekupenda kabisa, naona kitu chema ndani yako, unastaili uwe na mtu aina yangu ambae ni coach, mentor, mwalimu kwenye mahusiano, ambae anakupa uhuru wa kushauri, kukosoa. Ur weakness can be easier to fix. Hata kama sio mimi ukipata mtu ambae utakuwa free kuchati nae sana uko good good

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2090][emoji2090][emoji2090]
 
But not all women wanaanza na pesa ni wale walionja ouvu na utamu wa pesa, those who have had multiple men have demonstrated this. There are men for love, shape, money, handsome, car, richiest, famous, family influence, etc

Sijui hilo ila najua kila mwanamke anashawishika kivyake… nimetolea mfano kwake tu kwamba alikuja na hizo swaga ila wapo wengine wanakuja na swaga za kawaida ila unamkubali sio kwa vile umempenda hapana unataka tu ujue ana nini yaani ndani ya swaga zake ana nini cha ziada

Tatizo mmekariri wanawake tunapenda hela ila ni kweli tunapenda ila sio kama mnavyowaza[emoji13][emoji13]
 
Mwanaume wa kibongo yeye ni kuwaza mbususu tu muda wote. Trust me. Japo mimi ni mwanaume lakini hii kasoro tuliyonayo ndiyo inafanya hata mahusiano mengi yasidumu sasa hivi. Kwake yeye mapenzi ni kutoa mbususu, akiona mwanamke ameona mbususu. Wengi hawajui kuwa sex ni moja ya viunganishi vingi tu mapenzi.

Ingekuwa ni hivyo basi msingekuwa mnawaacha wanawake mliowaweka kinyumba zaidi ya miaka 4 pika pakua afu mnaenda kuoa mwanamke wa miez 3
 
Wanaume wa kichaga wengi wako hivyo,wanafikiri pesa ndo kila kitu.Hawajui kwamba mtu anaweza kuachwa pamoja na hizo pesa zake.Labda wakioana wao kwa wao wanawezana,mke hayupo romatic,mme hayupo romantic,ni mwendo wa kutafuta hela tu.
 
Wanaume wa kichaga wengi wako hivyo,wanafikiri pesa ndo kila kitu.Hawajui kwamba mtu anaweza kuachwa pamoja na hizo pesa zake.Labda wakioana wao kwa wao wanawezana,mke hayupo romatic,mme hayupo romantic,ni mwendo wa kutafuta hela tu.
Mamazungu chukua hii usiumize kichwa
 
Sijui hilo ila najua kila mwanamke anashawishika kivyake… nimetolea mfano kwake tu kwamba alikuja na hizo swaga ila wapo wengine wanakuja na swaga za kawaida ila unamkubali sio kwa vile umempenda hapana unataka tu ujue ana nini yaani ndani ya swaga zake ana nini cha ziada

Tatizo mmekariri wanawake tunapenda hela ila ni kweli tunapenda ila sio kama mnavyowaza[emoji13][emoji13]
Kwani msingi wa Hela ni kwamba wanawake mmeumbiwa ulafi au uchoyo, are you not born complete independent beings? Mfano una kazi na mshahara sasa pesa yako itafanya nini. Mfano umehisi nina pesa sasa si zangu kwani unajuaje ntakupa sh.ngapi na kwanini nikupe anyway
 
Wanaume wa kichaga wengi wako hivyo,wanafikiri pesa ndo kila kitu.Hawajui kwamba mtu anaweza kuachwa pamoja na hizo pesa zake.Labda wakioana wao kwa wao wanawezana,mke hayupo romatic,mme hayupo romantic,ni mwendo wa kutafuta hela tu.

Mmh hatari
 
He's out of love, that's normal...
Japo na uchaga unachangia kutokana na my lit experience...!
Kama unapenda mahaba...huyo hakufai.
 
Back
Top Bottom