Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

My love mleta mada njoo kwa mm mwanaume toka Tanga,mapenzi yalipo zaliwa na kukulia.
Nitakuita majina yote,nitakufanyia Masaji kabla ya kulala na kunipa chakula cha usiku.
Njoo ufurahie mema ya mapenzi hujaumbiwa kukasirika mtoto mzuri,umeambiwa ucheke kila dakika.

Kuhusu pesa si haba maana nimestaafu utumishi wa umma kwa hiyo kiinua mgongo + pensheni bado zipo na hakuna wa kuzimaliza leo wala kesho.
Karibu PM bibiye nawe ulambe asali nami nikulambe hadi kunako....!
 
My love mleta mada njoo kwa mm mwanaume toka Tanga,mapenzi yalipo zaliwa na kukulia.
Nitakuita majina yote,nitakufanyia Masaji kabla ya kulala na kunipa chakula cha usiku.
Njoo ufurahie mema ya mapenzi hujaumbiwa kukasirika mtoto mzuri,umeambiwa ucheke kila dakika.

Kuhusu pesa si haba maana nimestaafu utumishi wa umma kwa hiyo kiinua mgongo + pensheni bado zipo na hakuna wa kuzimaliza leo wala kesho.
Karibu PM bibiye nawe ulambe asali nami nikulambe hadi kunako....!

Hapana nampenda mchaga wangu nipe tu mbinu ya kumfanya nae awe romantic [emoji1787]
 
Watu wako busy kutafuta pesa,mapenzi hawajaweka kipaumbele sana.....mi mtu naenda nae vile alivyo kikubwa asiwe .....
 
Kiukweli hawajuagi mapenz ya sweet sweet hao...pesa mbele...yaan usipojiangalia atakuuza na wewe Kwa rafiki yake Ili mradi mkwanja anapewa

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Na hela anaijuaa utasikia “niko bize aiseeee “nitakutafuta baadae akikutafuta shukuru ndio nitolee iyoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana nampenda mchaga wangu nipe tu mbinu ya kumfanya nae awe romantic [emoji1787]
Ukiwa na mm tutazaa mtoto romantic kwa mkewe kwa kuwa atakuwa anatuona sisi wazazi wake tunavyoishi na kudamshi.
Basi kama hutaki kumuacha Mchaga wako niwe spea tairi,niutulize na kuukosha moyo wako kwa mahabubati ya kila aina.
Hii ni neema kupata mwalimu wa kukupa full dose ya mahaba.
Huyo mchaga wako wazazi wake walikuwa walevi wa mbege wakilewa ni kwenda kulala na kupandana kimyakimya,mahaba hawezi kuyajua hata akienda chuo cha mahaba lazima afeli tu.
Come here baby..)))
 
Kama jamaa anasimamia ukucha kwenye shoo za chumbani mixer kukuhudumia vizuri mengine yasikusumbue.

Kausha tu na uendelee kufaidi hela za jamaa.

Sasa hela nafaidi mpk niwe nae kuna faida gani hapo??
 
Back
Top Bottom