Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilibidi iwe week moja tu baada ya kumuanua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wachaga mmakwama wapi au ndo mungu hakupo vyote[emoji23]
Hao wanaochamba ni Wazaramo na watu kutoka Kojani! Sisi ni mahaba tu.
Anakupa ela?
Anakutimizia pesa?ya kitandani?[emoji28] et mumy
Wiki tosha kabisa. Baada ya hapo mnapeana tano tu [emoji1666]
Dah mimi wifi yako namuitaga mama mzungu tu na anapenda mwenyewe
Ndivyo walivyo wagumu hao hata hawajui uromantic wakavu kama samaki wa kuchoma ila wajanja sanaa Nawapenda..
My love mleta mada njoo kwa mm mwanaume toka Tanga,mapenzi yalipo zaliwa na kukulia.
Nitakuita majina yote,nitakufanyia Masaji kabla ya kulala na kunipa chakula cha usiku.
Njoo ufurahie mema ya mapenzi hujaumbiwa kukasirika mtoto mzuri,umeambiwa ucheke kila dakika.
Kuhusu pesa si haba maana nimestaafu utumishi wa umma kwa hiyo kiinua mgongo + pensheni bado zipo na hakuna wa kuzimaliza leo wala kesho.
Karibu PM bibiye nawe ulambe asali nami nikulambe hadi kunako....!
Kiukweli hawajuagi mapenz ya sweet sweet hao...pesa mbele...yaan usipojiangalia atakuuza na wewe Kwa rafiki yake Ili mradi mkwanja anapewaHapana nampenda mchaga wangu nipe tu mbinu ya kumfanya nae awe romantic [emoji1787]
Kiukweli hawajuagi mapenz ya sweet sweet hao...pesa mbele...yaan usipojiangalia atakuuza na wewe Kwa rafiki yake Ili mradi mkwanja anapewa
Watu wako busy kutafuta pesa,mapenzi hawajaweka kipaumbele sana.....mi mtu naenda nae vile alivyo kikubwa asiwe .....
🤣🤣🤣Na mapenz hakuna sometimes hapo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Na hela anaijuaa utasikia “niko bize aiseeee “nitakutafuta baadae akikutafuta shukuru ndio nitolee iyoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiwa na mm tutazaa mtoto romantic kwa mkewe kwa kuwa atakuwa anatuona sisi wazazi wake tunavyoishi na kudamshi.Hapana nampenda mchaga wangu nipe tu mbinu ya kumfanya nae awe romantic [emoji1787]
Kama jamaa anasimamia ukucha kwenye shoo za chumbani mixer kukuhudumia vizuri mengine yasikusumbue.
Kausha tu na uendelee kufaidi hela za jamaa.