Kikubwa asiwe nini? Ebu maliziaWatu wako busy kutafuta pesa,mapenzi hawajaweka kipaumbele sana.....mi mtu naenda nae vile alivyo kikubwa asiwe .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa asiwe nini? Ebu maliziaWatu wako busy kutafuta pesa,mapenzi hawajaweka kipaumbele sana.....mi mtu naenda nae vile alivyo kikubwa asiwe .....
MchoyoKikubwa asiwe nini? Ebu malizia
You cant....Im sorry.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nifanyeje anipendeee asa
🤣🤣🤣🤣🤣Ule mpango wa kutafuta mzungu ndio ukaangukia kwa mchaga???
You cant....Im sorry.
Mwanamke ndio anaweza kumpenda mwanaume mbele ya safari ila mwanaume asipokupenda mwanzon ndo bas tena labda ajifunze kukuvumilia tu.
There's a reason why wanaume ndio wanatakiwa kutongoza
Mapenz ni two way traffic isije ikawa na wewe ............
Vipi unataka mbinu za kumfanya aweze kukuvumilia?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sema nyinyi wanawake mnamaana yenu tofauti na maana halisi ya uchoyo au ubahiliMchoyo
Vipi unataka mbinu za kumfanya aweze kukuvumilia?
Mkataa pema ..........
Mueleze ukweli kuwa nini unataka kutoka kwake. Romantic people are made.
Mbona kama unanisema mimi
Njia pekee ni kukutana naye physically as much as you can maana nishajua hana story za kwenye simu ila live anaongea fresh.Hebu nipe hizo mbinu [emoji1787][emoji1787]
Mie bado sijamchoka jmn
Njia pekee ni kukutana naye physically as much as you can maana nishajua hana story za kwenye simu ila live anaongea fresh.
Then ukikutana nae 2/3 times mpe sex.
Communication makes a relation...Kwahyo jaribu kutumia njia anayoweza ya communication (ana kwa ana).
Kama situation uliyonayo haiwezekani (distance) basi it's hopeless..Maana hiyo ni the only way. Labda usubirie situation ikae fresh (Distance isiwepo) ndiyo ufanye hayo.
ila wakati huo unasubiria situations zikae poa..Uwe unasali asikutane na mtu ambaye situations zao zitakuwa poa.
Shangaa nawewe...mara mzungu...picha linaisha anatua mabegi kwa MekuUle mpango wa kutafuta mzungu ndio ukaangukia kwa mchaga???