Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mapenz hakuna sometimes hapo
Kipaumbele chao ni pesa sio mapenzi, yani we hapo anakuona mengineyo [emoji16]
Bank acc no yako iko wapi au Mpesa ? Aache tabia mbaya😅Mubahilii [emoji846]
Ule mpango wa kutafuta mzungu ndio ukaangukia kwa mchaga???[emoji3][emoji3][emoji3]kwaiyo mimi mengineyoo
Kwakweli na mimi nitafute hela
Ukiwa na mm tutazaa mtoto romantic kwa mkewe kwa kuwa atakuwa anatuona sisi wazazi wake tunavyoishi na kudamshi.
Basi kama hutaki kumuacha Mchaga wako niwe spea tairi,niutulize na kuukosha moyo wako kwa mahabubati ya kila aina.
Hii ni neema kupata mwalimu wa kukupa full dose ya mahaba.
Huyo mchaga wako wazazi wake walikuwa walevi wa mbege wakilewa ni kwenda kulala na kupandana kimyakimya,mahaba hawezi kuyajua hata akienda chuo cha mahaba lazima afeli tu.
Come here baby..)))
Ule mpango wa kutafuta mzungu ndio ukaangukia kwa mchaga???
Bank acc no yako iko wapi au Mpesa ? Aache tabia mbaya[emoji28]
Lazima kwanza wajenge kijijini halafu wajenge mjini.
Huo muda wa kuitwa baby utoke wapi
Ushauri wa bure mchaga hana mbwembwe mahaba inayotafuta nenda kwa mzazamo,Makonde,ndengereko etc ,maana ya Moshi,Mungu Onyesha Hela Ilipo😂😂😂😂Nimekuwa na mahusiano na kijana wa kichaga almost 1.10 year ila sijawahi kupata Yale mahaba yenyewe. Ukitoa zile siku za mwanzo ni za mahaba ile miezi 3 ya mwanzo.
Mfano kukuita majina mazuri mazuri like sweetheart, honey, mke n.k Yaani kiufupi hana matendo ya mahaba.
Unaweza kumuaga kwenda mahali akakwambia sawa ila hakuulizi unaenda wapi na kufanya nini, kiufupi hana amshaamsha.
Anaweza kukaa hata siku 3 hamjawasiliana na akikutafuta hamna hata story.
Mwenzenu nimechoka natamani kupata mtu ambae ana mahaba na mimi ni enjoy.
Mpk nimemis Ex wangu alikuwa ananiita majina matamu hata Kama ananidanganya.
Naombeni majibu-
- Ni tabia ya wanaume wa kichaga
- Ni Tabia ya mtu binafsi
- Hanipendi?
Ushauri wa bure mchaga hana mbwembwe mahaba inayotafuta nenda kwa mtazamo,Makonda,ndengereko etc ,maana ya Moshi,Mungu Onyesha Hela Ilipo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo hakupendi tu ila pia hayupo romantic
Upate mnyamwezi alafu akolee kwenye mapenzi mbona hutoamini
Wewe vocha ulishawahi kumtumia? Hela ushawahi kumpa?[emoji2][emoji2]sijasema ni ndogo ila sasa mpk mtakapo onana maybe after 4 month ama 3
Sasa mimi ninapokuwa nina shida ukimuomba asemi sikupi anasema anakupa ila hatoiii
Hata vocha hajawahi nitumia mpk nimeachaa tena Kumuombaa
Wewe vocha ulishawahi kumtumia? Hela ushawahi kumpa?
Okay, Hajakupenda...ila hana mwingine zaidi yako.Hajaniombaa ningempaa
Okay, Hajakupenda...ila hana mwingine zaidi yako.