Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Hawapo romantic au huyu hanipendi tu?

Afu akitaka kuchart na mimi atumie bando la nini??

Inauma unatumiwa pesa na mtu ambae humtegemei afu bebi lako linakuchartishaa tu[emoji1787]
Tatizo ninaloliona kwako na kwa mabinti wengi kwa sasa ni kukosa akili ya kujitambua.

Unakuwa na mahusiano na mtu ambaye unajua fika ni just a boyfriend kwako maana kwanza hamna muda mrefu, hajajitambulisha kwenu, bado hamjawa rasmi kwenye jamii.

Ila kwa namna isiyoeleweka huwa mnaanza kujipa uhalali wa mke wa mtu na kudemand mpewe haki za mke wa ndoa matokeo yake mnaanza kuishia kujiona mnanyanyasika.

Nitakupa mfano unilewe vema maana najua haujanielewa namaanisha nini.

Ipo hivi, mfano mtu amekupa lifti kwenye gari yake siku ambayo usafiri ni washida sana. Unaingia katika gari unaanza kujipa uhalali as if ni gari yako na yeye ni dereva, mara mbona hauwashi AC, mmmmmmhmn nyimbo unazopiga ni za ajabu, mara mbona taa ya mafuta inawaka haujaweka mafuta, etc.

Nani atafurahia tabia kama hizo?! Same feeling inakuwa pale unapokuwa umeingia mahusiano na mwanaume halafu 3 months mbele unaanza kudemand kuwa ili uendelee kuwa nae basi akununulie unachotaka kwa pesa yake, akutreat unavyotaka, akupeleke unapotaka, aishi unavyotaka ama sivyo hauoni sababu ya kuwa katika uhusiano huo. Mwisho wa siku wanaume wanawaoneni kama chombo cha starehe tu maana hamna faida kwake zaidi ya kuliwa kingono na ukibahatika sana atataka ubebe watoto wake wakalelewe na bibi yao.

Mabinti wa sasa wengi wenu ukitoa miili hakuna mnacholeta katika mahusiano huo ni ukweli mchungu.
 
Anakupa ela?
Hilo ndilo tatizo la waafrika! Kwa nini apewe hela? Kwani mapenzi ni pesa? Anataka alipwe kumpenda mtu? kwani wanaposex yeye hawa haenjoy? Kama unataka uwe unapewa pesa sasa ujuwe kuwa wewe pia ni whore kama whore wengine tafauti yako ni kuwa una mteja mmoja tu! Kama unataka upewe pesa si bora kwa mwanamme awe anatafuta kahaba kila anapotaka kusex? Tena atakuwa na advantage kama kila siku anapata k tafauti, hakuna kuulizwa umetoka wapi au hiyo lipstick shingoni amekuapa nani? Hukasiriwi ukimwaga mwanzo au haraka haraka etc etc.
 
Sasa kama mtu hakushirikishi mambo yake unaweza kuweka ushauri gani nianze tu kutoa ushauri bila kujua mwenzangu mambo anayoyafanya si nitaonekana nina kiherehere

Na kuhusu kumpendaa kweli mwanzo nilimpendea hela na unajua sie wadada mapenzi huja baadae so for the first nilipenda hela

But finally nampenda yeye ukitoa hizo hela maana nikisema nampenda kwa hela basi ningekuwa nishamuacha kwasababu hanipi pesa…. Ila nilishaacha kupenda pesa yake kwasababu ukitoa hiyo kasoro ya kutokuwa romantic na kutokunihudumia yupo vizuri hajawai nitukana kunipiga kunisema vibaya zaidi zaidi huwa ananishauri mambo ya maendeleo yangu

So ha deserve kupendewa hela ni mtu smart tu
Kuna mambo sio hadi akushirikishe maana pengine hata hajui namna ya kukushirikisha ni wewe kujiplus. Mfano unakwenda kwake kuna vitu utaona hana kwann usianze kuhimiza awe navyo.

Kama kuna vitu anavyo then unaanza kuangalia vilivyo na hadhi ya chini unaanza kupigia chapuo avibadili ili apate bora zaidi.

Mfano unakuta anaasofa ya kishamba unakwenda kutafuta designer mpya ili mchonge mapya, na sio lazima pesa awe nayo yeye pekee yake unaweza tafuta wewe hata nusu then unaweka hapo kwa fundi ili vianze kutengenezwa, kesho akisikia unamwambia kuna zile sofa mlidiscuss zimeshatengenezwa na umelipia nusu akuongezee pesa ukazichukue.

Au Si lazima ukute kaanzisha biashara ili wewe ukaziingilie hiyo ni kukosa akili. Kwann usianze wewe hata biashara ya kuuza ubuyu chochote kitakachopatikana utumie kuweka mambo sawa hapo ndani?!

Maisha ni kusaidiana. Hawa baba zetu na mama zetu wakikuhadithia walipotoka kwenye kulala sakafuni hadi maisha ya sasa hautaamini hata kidogo, sasa sisi vijana wa siku hizi tunaanzia pazuri bila changamoto kubwa sana.

Ila mabinti mnatuangusha sana. Huwa mnataka mtukute vema ndio mje kuanza kubidua makalio yenu kusema hapa kwangu na hivi vyote vyangu. Huo ni ukosefu wa akili ya mahusiano.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Anakwambia kila siku hela ngumu
Na mwengine, ndio maana wanawake wa Tanzania mnadharauliwa na kuteswa na wanaume zenu, hamjitegemei kabisa na mnaona K zenu ndio uchumi wenu. Be independent ladies na just enjoy men companions and sex!!!!!!
 
HANIHUDUMII

PESA AKE AKINIPA NI MPK TUWE WOTE TENA VILE Mshamaliza maongezi kila mtu kwao ndio anatoa Ka elfu 20 [emoji57][emoji57]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kiufupsasa i ni bahili
Sasa kwan wewe unataka pesa au unataka mahaba?
Mbona hatukuelewi.
 
achana na watoto wa mjini wataishia tu kukupeleka KFC kula kuku wakati huyo mchaga anaweza kukufanya ukawa Ata na biashara zako zikaja saidia watoto wako,na ndugu zako narudia tena mara ya mwisho komaa na mchaga muombe akufundishe kufanya biashara

Haha sawa nitafanyaa
 
Poleh mamzumguuu hyo hakupendi analazmisha tu , em mchunguze labda anamwanamke mwingn

Mmh labdaa but nimeshamfuatilia sana hata nikienda kwake nikirudi nakuta tu kama mwanzo nilipopakutaa so sina uhakikaa
 
Back
Top Bottom