Haya mengine ya kuitw baby n the like ni kwa sababu hakupi pesa, ungepewa pesa sidhani kama mambo ya baby na sweetheart yangekuwa na nafasi.Hata wanaume huingia kwenye mahusiano ili wale mbususa so kila mtu na lengo lake la mahusiano[emoji41]
Mdogo wangu alianza mshirikisha mke wake mambo yake baada ya kumuoa, kabla ya hapo yule Dada alikua hashirikishwi chochote...dogo alinunua viwanja na kujenga bila binti kufahamu...now binti kila hatua anashirikishwa.Sasa kama mtu hakushirikishi mambo yake unaweza kuweka ushauri gani nianze tu kutoa ushauri bila kujua mwenzangu mambo anayoyafanya si nitaonekana nina kiherehere
Na kuhusu kumpendaa kweli mwanzo nilimpendea hela na unajua sie wadada mapenzi huja baadae so for the first nilipenda hela
But finally nampenda yeye ukitoa hizo hela maana nikisema nampenda kwa hela basi ningekuwa nishamuacha kwasababu hanipi pesaβ¦. Ila nilishaacha kupenda pesa yake kwasababu ukitoa hiyo kasoro ya kutokuwa romantic na kutokunihudumia yupo vizuri hajawai nitukana kunipiga kunisema vibaya zaidi zaidi huwa ananishauri mambo ya maendeleo yangu
So ha deserve kupendewa hela ni mtu smart tu
Kama unaweza wewe mchunie yeye awe anakutafuta na hata akikutafuta usimlalamikie kuwa mbona ulikuwa kimya sana ...piga stori za kawaida usiulize mambo yake biashara inaendaje wala familia yake acha akwambie mwenyewe. Pia usimlilie shida zako hata kama huna pesa komaa tu lazima atachanganyikiwa na kukuonea wivu kuwa umebadilika ghafla na atakutafuta mara kwa mara na kila kitu kitakaa sawa . Kikubwa jipende tu kuwa bize na mambo yakoKwaiyo akinitafuta saivi nimwambiajeβ¦ mimi ananikeraa siku mashetani yake yakimpanda utasikia βmumy unajua nakupenda weww ndo mke wangu lazima nikuoeβ najiulizaga huko aliko anakuwaga amelewa ama [emoji19][emoji19]
Kiukweli anacheza na hisia zangu humuelewi akisema kweli ama uongo ana kera sana [emoji41][emoji41]
Kama unaweza wewe mchunie yeye awe anakutafuta na hata akikutafuta usimlalamikie kuwa mbona ulikuwa kimya sana ...piga stori za kawaida usiulize mambo yake biashara inaendaje wala familia yake acha akwambie mwenyewe. Pia usimlilie shida zako hata kama huna pesa komaa tu lazima atachanganyikiwa na kukuonea wivu kuwa umebadilika ghafla na atakutafuta mara kwa mara na kila kitu kitakaa sawa . Kikubwa jipende tu kuwa bize na mambo yako
BAADA YA HAPO UJE KUTOA MREJESHO.
Nyie wanawake mbona mtatukondesha sana, kila saa tu niwe nasema Nakupenda, inakuwa kama adhabu sasa!Amna siamini
Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling
Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa
Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
Hamna mtu hapo dada kimbia zako hizo sio dalili nzuri mtu bahili hivyo wa kazi gani[emoji24][emoji2][emoji2]sijasema ni ndogo ila sasa mpk mtakapo onana maybe after 4 month ama 3
Sasa mimi ninapokuwa nina shida ukimuomba asemi sikupi anasema anakupa ila hatoiii
Hata vocha hajawahi nitumia mpk nimeachaa tena Kumuombaa
Nyie wanawake mbona mtatukondesha sana, kila saa tu niwe nasema Nakupenda, inakuwa kama adhabu sasa!
Hamna mtu hapo dada kimbia zako hizo sio dalili nzuri mtu bahili hivyo wa kazi gani[emoji24]
[emoji1787] kimbia mwenzangu khaaa! Miez 6 bila bilaSina maana hiyo sasa kama unakaa miezi hata 6 hujawahi mtamkia mwenzio nakupenda tusilalamikee
[emoji1787] kimbia mwenzangu khaaa! Miez 6 bila bila
ππππ Bora hapo alisema asante sana kuna mwingne unamwambia nakupenda anasema wacha wee yanini mapenzi sasa [emoji4]Amna siamini
Kuna mmoja alikuwa ananihadaa sana hata Kama haniiti darling
Alikuwa anapenda kuniita mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huyu hata ukimwambia nakupenda kwenye sms anakujibu Asante Sanaa
Yaani ukiona katamka neno nakupenda ni kipindi mnagombana ndio atatamka au mkiwa pamojaa [emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41]
SoMkuu bora jamaa Kakimbia mwenyewe[emoji23] sasa hivi tafuta aliye romantic [emoji8]