Haya akina Mwamposa, Mwacha na Wenzenu dalili ya Mvua ni Mawingu

Haya akina Mwamposa, Mwacha na Wenzenu dalili ya Mvua ni Mawingu

Nawashangaa baadhi ya watu wetu. Hivi utakosa maarifa kiasi gani Hadi ukaombewe na Mposa?
Hata baada ya kupigwa na kitu chenye ncha Kali na kiboko ya wachawi bado mnamuamini huyu? Hata baada ya kejjeli na dharau nyingi za kiboko ya wachawi bado watu wanamiminika kuibiwa?
Jiulize , je huyu mtu ana familia au Ni mhuni wahedi, mmeshamuona mke wake na watoto?
 
Nawashangaa baadhi ya watu wetu. Hivi utakosa maarifa kiasi gani Hadi ukaombewe na Mposa?
Hata baada ya kupigwa na kitu chenye ncha Kali na kiboko ya wachawi bado mnamuamini huyu? Hata baada ya kejjeli na dharau nyingi za kiboko ya wachawi bado watu wanamiminika kuibiwa?
Jiulize , je huyu mtu ana familia au Ni mhuni wahedi, mmeshamuona mke wake na watoto?
Uko sahihi 100% Mkuu ila subiria kuambiwa una Pepo au Wivu na Wapumbavu anaowadanganya na kuwachuna Pesa zao.
 
Serikali imeruhusu haya makanisa na hizi dini za kihuni kwa makusidi kabisa. Some people wanafaidika kwa uwepo wa hayo madhehebu maana wanafanya MONEY LAUNDERING kirahisi.

Leo ukiiba mabilioni ya pesawe peleka kwa Mwamposa ongea nae afungue kiwanda kwa jina la kanisa umemaliza hakuna wa kuhoji. Au unapitisha hela kwenye account ya kanisa hakuna atakayezingua hata wakihoji ni rahisi kuzielezea.

Sio kwamba serikali haijui lakini watu wanatumia kwa deals zao kukwepa kodi nk. Mambo kibao yanapitishwa kupitia dinì. Nani atahoji mizigo bandarini ikipita kwa jina la kanisa? Nani atahoji kodi ikiwa ni huduma ya kanisa?

Hizo ni deals za watu huyo VP atakaa kimya ameropoka anajua alichokisema anajua fika coz alishawahi kuwa Minister of Finance anajua.
 
Nawashangaa baadhi ya watu wetu. Hivi utakosa maarifa kiasi gani Hadi ukaombewe na Mposa?
Hata baada ya kupigwa na kitu chenye ncha Kali na kiboko ya wachawi bado mnamuamini huyu? Hata baada ya kejjeli na dharau nyingi za kiboko ya wachawi bado watu wanamiminika kuibiwa?
Jiulize , je huyu mtu ana familia au Ni mhuni wahedi, mmeshamuona mke wake na watoto?
Dini zinapumbaza sana watu. Dini hufanya waumini wa flani ama wa dhehebu flani waamini kwamba waumini wa dhehebu ama mtu flani wanaibiwa ila wao hawaibiwi ila uhalisia ni kwamba wote wanaibiwa.

Utashangaa mfano mkatoliki anaona muumini wa mwamposa anaibiwa lakini yeye haoni kama anaibiwa kwa matoleo yake yanayomlisha papa, yaani yeye amekaa Tandahimba huko analima akivuna anapeleka zaka kanisani halafu hiyo zaka anapelekewa Papa amekaa zake Vatican anakula maisha.

Kwa ujumla ni kwamba waumini wote wanaibiwa, haijalishi unasali wapi, wote wanaibiwa. Mimi binafsi nawapongeza hao kina mwamposa, kiboko ya wachawi na wengine ambao wanaibia watanzania na wanazila hapa hapa bongo kuliko mtu kuibiwa na warumi na hela kwenda kuwafaidisha warumi huko.

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
 
Back
Top Bottom