Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Serikali ndiyo inatakiwa kuokoa hawa wajinga.wajinga ndio waliwawo
Sasa ccm inaingia vp, yn mpigwe huko kwa ujinga wenu afu mje mlalamikie ccmSidhani kama watazuiliwa kwa Serikali hii ya CCM, labda CCM iwe imeondoka madarakani.
Iwaokoaje wakat watu wanatumia upumbavu wa watu kujipa pesa, mm naunga mkono hawa akina Mwamposa na wenzake waendelee kuwepo ili kuwanyoosha wajinga wajingaHapana, Serikali ndiyo inatakiwa kuokoa hawa wajinga.
At least wafanye kama Rwanda.
Safi sana Mwamposa, wanyooshe wanyooshe wanyookeNaona Mwamposa anaandaa kongamano la kupiga za lala salama hivi karibuni. Ana mpango wa kuuza maji ya kutosha
Haaa kiu yakutapeliwa kwelikwel mpaka watapeliwe ndo inakataKatika Utapeli wa imani, Waumini ndio wenye kiu ya kutapeliwa!
Wewe ni zero brain, hujui kitu.Sasa ccm inaingia vp, yn mpigwe huko kwa ujinga wenu afu mje mlalamikie ccm
Mm namuunga mkono kiboko wa wachawi alivyowanyooshaWewe ni zero brain, hujui kitu.
Yaani ukiona umati wa watu kwenye mahubiri ya huo utapeli, huwezi kushangaa kwa nini nchi ipo hovyoUko sahihi 100% Mkuu ila subiria kuambiwa una Pepo au Wivu na Wapumbavu anaowadanganya na kuwachuna Pesa zao.
Kama umasikini utaendelea kama ulivyo sio rahisi kustuka, wataendelea kukamuliwa sababu ya umaskini wao na itachukua miaka mingi hili tatizo kuisha,ni kizazi hadi kizazi.Wengi Wao Ambao Wanadanganyika Kirahisi na Hawa Manabii Wa Uwongo Ni kina Mama, Mungu Awape Macho ili Wastuke Wasiende Kwa Hawa Manabii Wa Mchongo
Serikali ipo kwa ajili ya kulinda raia na mali zake, inapoona utapeli unaendelea na ikafumbia macho jua kwa namna moja au nyingine kuna namna inavyo faidika, mfano kwanini haifumbii macho kwenye utapeli wa elimu, hospital, pharmacy, vipodozi nk na ukibainika unachukuliwa hatua kali, lkn kwa manabii kimyaaaa!!Sasa ccm inaingia vp, yn mpigwe huko kwa ujinga wenu afu mje mlalamikie ccm
Idiot.Mbona Catholic huwasemei na ni matapeli wa Muda mrefu ?
Serikali ikiingilia kati mnaanza kushtumu serikali kuingilia imani zenu, kwan hukuona video za watu wakiilalamikia serikali n kwann imemfukuza kiboko ya wachawi wakat sio tapeli na wala hakuna aliyelazimishwa kutoa sadaka?Serikali ipo kwa ajili ya kulinda raia na mali zake, inapoona utapeli unaendelea na ikafumbia macho jua kwa namna moja au nyingine kuna namna inavyo faidika, mfano kwanini haifumbii macho kwenye utapeli wa elimu, hospital, pharmacy, vipodozi nk na ukibainika unachukuliwa hatua kali, lkn kwa manabii kimyaaaa!!
Niende kwa Mwamposa halafu niilaumu serikali? Umechanganya mambo mkuu.Yn mkipigwa huko ndo mnaanza kuilaumu serikali 😂 nyie kila siku mmejazana kwa Mwamposa halafu kikinuka ndo mnakuja kulialia
Ngoja kinuke ndo utajua hujui.Niende kwa Mwamposa halafu niilaumu serikali? Umechanganya mambo mkuu.