Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Jamaa una Akili (IQ Kubwa) hadi raha. Nakukubali sana kama siyo mno Mkuu. Nikikukubali amini kuwa uko Vyedi.Hao wanajipigia wajinga tu
Ndomana utawakuta kwenye
Mikutano yao,wanawaita wakuu wa mkoa mara spika wa bunge
Kuwa wageni yote kinga tu hiyo
Ova
Taja Madhehebu yote ila siyo langu Takatifu la Mitume la Katoliki sawa? Na iwe mwanzo na mwisho. Hakuna kama Katoliki duniani.Dini zinapumbaza sana watu. Dini hufanya waulimi wa flani ama wa dhehebu flani waamini kwamba waumini wa dhehebu ama mtu flani wanaibiwa ila wao hawaibiwi ila uhalisia ni kwamba wote wanaibiwa.
Utashangaa mfano mkatoliki anaona muumini wa mwamposa anaibiwa lakini yeye haoni kama anaibiwa kwa matoleo yake yanayomlisha papa, yaani yeye amekaa Tandahimba huko analima akivuna anapeleka zaka kanisani halafu hiyo zaka anapelekewa Papa amekaa zake Vatican anakula maisha.
Kwa ujumla ni kwamba waumini wote wanaibiwa, haijalishi unasali wapi, wote wanaibiwa. Mimi binafsi nawapongeza hao kina mwamposa, kiboko ya wachawi na wengine ambao wanaibia watanzania na wanazila hapa hapa bongo kuliko mtu kuibiwa na warumi na hela kwenda kuwafaidisha warumi huko.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
Kwa Demu zake Wawili Milano ya Msasani na yule wa Sala Sala karibia na Nyumba ya Marehemu Augustine Mrema Ok?Asking for a friend,
"Mwaiposa alisomea theology wapi"?
Ulichomaliza ss mie hoi..kumbe wale wanaojiita wachokonozi wapo humu piaDini zinapumbaza sana watu. Dini hufanya waulimi wa flani ama wa dhehebu flani waamini kwamba waumini wa dhehebu ama mtu flani wanaibiwa ila wao hawaibiwi ila uhalisia ni kwamba wote wanaibiwa.
Utashangaa mfano mkatoliki anaona muumini wa mwamposa anaibiwa lakini yeye haoni kama anaibiwa kwa matoleo yake yanayomlisha papa, yaani yeye amekaa Tandahimba huko analima akivuna anapeleka zaka kanisani halafu hiyo zaka anapelekewa Papa amekaa zake Vatican anakula maisha.
Kwa ujumla ni kwamba waumini wote wanaibiwa, haijalishi unasali wapi, wote wanaibiwa. Mimi binafsi nawapongeza hao kina mwamposa, kiboko ya wachawi na wengine ambao wanaibia watanzania na wanazila hapa hapa bongo kuliko mtu kuibiwa na warumi na hela kwenda kuwafaidisha warumi huko.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
EtiiKusikia Kwa kenge mpaka damu imtoke!
Kwasababu wenye uwezo wa kusikilizwa ni mashoga na malesbo.tunakoelekea mafundisho ya dini yatapingwa ila ushoga utapewa kipaumbele.
"Hivi sasa yameibuka mafundisho ya baadhi ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao, kutegemea miujiza Zaidi, ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa, viongozi hao wanawaelekeza waumini wao kwenda kwenye nyumba zao za ibada, ili wakaombewe wapate mali, ikiwemo magari, nyumba, pesa wanazo zitamani, lakini pia wanaomba kutatuliwa shida zao, tunashuhudia kuongezeka kwa wahubiri wanaojilimbikizia fedha na mali binafsi kutokana na sadaka na mauzo ya vitu mbalimbali vya hao watu wanyonge"Dkt.Philip Mpango - Makamu wa Rais wa Tanzania.
Chanzo: itvtz
Ni muda tu ila muda si mrefu mtazuiliwa na huu Utapeli wenu wa muda mrefu
ma TP hao wote
Ova
Mkuu hakuna kitu hatari kwenye ustawi wa jamii na Taifa kwa ujumla kama kuwa na kundi kubwa la WAJINGA. UJINGA kama alivyotamka Mwl Nyerere miaka 60 iliyopita ni janga na adui mkubwa sana.Katika Utapeli wa imani, Waumini ndio wenye kiu ya kutapeliwa!