Haya akina Mwamposa, Mwacha na Wenzenu dalili ya Mvua ni Mawingu

Haya akina Mwamposa, Mwacha na Wenzenu dalili ya Mvua ni Mawingu

Uko sahihi 100% Mkuu ila subiria kuambiwa una Pepo au Wivu na Wapumbavu anaowadanganya na kuwachuna Pesa zao.


..Na Raisi amekuwa akichangia shughuli za Mwamposa.

..sio mara moja RC Chalamila amehudhuria kanisani kwa Mwamposa na kudai anamuwakilisha Raisi.

..Sidhani kama Raisi atawa chenjia hivi karibuni.
 
Taja Madhehebu yote ila siyo langu Takatifu la Mitume la Katoliki sawa? Na iwe mwanzo na mwisho. Hakuna kama Katoliki duniani.
Na nyie ndio mnaoliwa taratiiibu bila kelele na huko kuna mabingwa wa kutatua marinda ya watoto wenu uwe makini ndugu muumini usikute mkeo anabanduliwa na kitoto cha kiume nacho kinabanduliwa nawewe ukiendelea kuhenyeka na sadaka za kumtegemeza m'banduaji
 
Ukiona umati wa watu hapa peckers wanavyogombania usafiri jioni utashangaa!! Hakika mzizi wa Mwamposa una nguvu ya pekee!! Mtu anatoka mbali kufuata tu mafuta ya upako!! Kulikoni? Kuna jamaa huku JF alisema kuwa dini ni kwa ajili ya "low minded people " nakubaliana nae. Watu hawaoni huu utapeli?
 
Ona Kagame alivyofunga baadhi ya makanisa, ni lazima uwe na degree in theology ili ufungue kanisa. Kagame kapigilia huo msumari.
 
Back
Top Bottom